Nape moyo wake uko chadema bado kitambo kidogo,si ndiye mwanzilishi wa CCJ?anaenda kijijini kuwadanganya wazee na vibibi ambayo hawajui kitu akiwaambia inflation imeshuka sana wanapiga makofi hawajui hata ni nini wanafikiri labda ni mafuta ya taa.
wao wanaangalia zile kanga na kofia na tisheti wanazopewa na Nape mengine hawana time nayo ,..hawa ndio watu anaowapenda Nape, si mmeona hapa tumembana anaanza kusema oo njooni na Majina yenu halisi mara aoo mwanaume unajificha nyuma ya ID sasa hizi nazo hoja?
ccm wanapenda sana kulipa visasi anataka uje na ID yako ili akujue akulishe sumu kama walivyomlisha mwakyembe .
ccm walivyo na roho mbaya wanaweeza kunywa uji wa mgonjwa mahututi
Mimi napenda kumshauri aache tabia ya kupaka ambi mwilini mwake. Dume zima linajichubia?.
nape uzi ni ule, andaa wembe uwanyoe wapinzania, usikubali kusikiliza ushauri wa cdm siku zote hawana jema kwa chama chetu
kama wapinzani hawana jema ccm wana jema gani?watu tunataka nafuu ya maisha na sio ngonjera,mlituambia uagizaji MAFUTA kwa pamoja bei ingepungua mbona imekuwa kinyume?ccm haishauriki na wala haibadilikiNape uzi ni ule, andaa wembe uwanyoe wapinzania, usikubali kusikiliza ushauri wa CDM siku zote hawana jema kwa chama chetu