Nape katema pumba ambazo ndio wana magamba wanavyowaza wa hii nchi ni mali yao binafsi na ndio maana waiuza watakavyo wanajua sisi wenye nchi wenyewe hatuwezi wafanya chochote kwa kuwa wanatumia poli, usalama wa taifa, PCCB nk kuwalinda na kuibia nchi hii