Nape ameamua kutogombea ujumbe wa NEC kwenye uchaguzi wa ndani ya chama hicho mwaka huu, baada ya kugombea kwa miaka kumi mfululizo na kushinda, sasa ameamua kutogombea ILI APATE MUDA WA KUSIMAMIA UCHAGUZI HUO VIZURI NDANI YA CHAMA...........
"Si rahisi kuwa refa na mchezaji kwa wakati mmoja, ukatenda haki ipasavyo, hivyo nimeona bora kutogombea ili nipate muda wa kutosha kusimamia mchakato, ili haki itendeke zaidi" alisema Nape.
Source. Habari Leo
"Si rahisi kuwa refa na mchezaji kwa wakati mmoja, ukatenda haki ipasavyo, hivyo nimeona bora kutogombea ili nipate muda wa kutosha kusimamia mchakato, ili haki itendeke zaidi" alisema Nape.
Source. Habari Leo