Mikakati ya Chama cha Magamba
1.Kuimarisha ngazi za chini!
2.Kuongeza uwakilishi
3.Kuchukia hatua dhidi ya Ufisadi!
Endelea....
nape asipotekeleza kwa vitendo atakuwa amejimaliza kwani tulimpa heshima ya ucdm ndani ya ccm so he should have to prove kuwa yeye ni kisu kwa mafisadi
Waziri Wasira yupo TBC1 anazuzungumzia Muswada kuhusu Utaratibu wa Katiba Mpya...
atawezaje kutekeleza kwa vitendo wakati hana makali, amewekwa hapo ili kubridge gap kati ya vijana na wazee, kuwadanganya vijana wachache kuwa ccm inajali vijana, kuwadanganya wananchi kuwa ccm haikumbatii mafisadi tena. Kwangu mimi hii ni mission impossible kwa gharama kubwa.
Nape naye ni mganga njaa tu kama wengine hana lolote, ndiyo maana alipozwa kwa udc na sasa wanamtumia kama kilaka kwenye nguo kuukuu, kikwete pekee ndiye anajua anafanya nini na kwa masirahi ya nani? Ingawaje wengi tunajua anawadanganya watanzania wakati kwa sasa hawadanganyiki.
yuko anaongea jambo tbc,hoja ni kuhusu mchakato wa katiba mpya.anatetea vifungu vilivyokataliwa na wananchi
*MWANDISHI anayemhoji anaonekna kisanii zaidi kwa kumuuliza maswali yaliyoandaliwa rasmi.
*Ameandaliwa kipindi bila upande wa pili(challenger)
kipindi kimeisha na wameondoka studio yeye NAPE.(nepi)