Hamia kabisa cdm
Inanisikitisha kuona ccm wamekuwa wanaiga kila kitu cha chadema.
Kule Arusha jimbo la Arumeru waliiga salamu ya chadema ile ya kukunja ngumi, wao wakawa wanakunja kumi lakini wananyanyua dole gumba.
Sasa Nape na wenzake wamehamia kwenye mavazi, gwanda jeusi kwa mara ya kwanza lilionekana kwenye msiba wa chacha wangwe, halafu baadae Arusha, likaendelea kwa Mtema. Leo nimemuona Nape nae kavaa gwanda jeusi.
Wameiga wanashona yale manguo yao ya kijani kama magwanda. Wana nini hawa wasio penda kubuni vyao? Nape ana nini kupenda kuvaa kama wanachadema wanavyo vyaa?!
kwa hiyo unamaanisha kichaa wao wa sasa ni Jiwe linaloishi Lusinde aka Mzee wa Kibajajihana jipya, Mzee Makamba na timu yake walikuwa ma failures, ila hawakuvunja rekodi,
am telling you, Hawa waakina nape wataharabu mara 50 zaidi hata ya akina Makamba na Kichaa wake Tambwe Hiza
yuko sawa kwa nafasi yake kwenye chama chake huo ni msiba kupoteza jimboGwanda lake feki, sie chadema huwa twatumia rangi hiyo kwenye misiba!