Nape nakupongeza

Hivi huyo mbunge ni wa Chama Gani jamani? .... hvi kweli nape ni kakosa ustaarabu kiasi gani kutumia lugha ya matusi hivi?? kama mbunge alichaguliwa na wananchi na si yeye

---Ni mbunge wa CUF anachinganishwa na wananchi waki kimtindo kama ana badala ya kuwambia polisi
--- Nadhani kuna mambo waligongana alipokuwa huko kusini masasi maana hiyo tuhuma ya ulanguzi ni karibu ya kila mnunuzi wa mazao hapa nchini na serikali inalijua hiyo sana tu kama ilivyo kwa madawa ya kulevya



Thursday, 02 September 2010 07:42

CUF yaihenyesha CCM kilwa

Elias Msuya

WAKATI mgombea urais wa CUF, Profesa Ibrahim Lipumba na mgombea Ubunge wa Jimbo la Kilwa Kusini kwa tiketi ya chama hicho, Suleiman Said Bungala (*****) wakichanja mbuga wilayani Kilwa, mgombea wa CCM katika jimbo hilo, Ramadhan Madabida amelazimika kusafirisha wanachama wa chama hicho kwa mabasi ili kuhudhuria ufunguzi wa kampeni zake zilizofanyika Kilwa Kivinje jana.
Mabasi kutoka vijiji vya Ruyaya, Pande na Lihimalyao yalionekana yakikusanya wana CCM ili kuwapeleka Kilwa Kivinje, umbali wa zaidi ya kilometa 50.

Madabida alichelewa kuanza kampeni zake kutokana na mvutano wa wana CCM waliokuwa wakipinga kuteuliwa kwake kuwa mgombea ubunge licha ya kushindwa kwenye kura za maoni na aliyekuwa mbunge wa jimbo hilo Hasnain Dewji aliyeenguliwa na Halmashauri Kuu ya CCM hivi karibuni.


Zaidi ya wana CCM 2,000 walirejesha kadi zao baada ya kutokea mvutano huo na kukabidhiwa kadi za CUF

Kwa hali hiyo alikuwa akiutumia muda huo kuwashawishi wana CCM hao katika vikao vya ndani ili wamuunge mkono kwenye kampeni hizo.

Pamoja na kuwashawishi wana CCM, bado mikutano ya CUF inaelekea kupata wafuasi wengi kuliko wa CCM.

Baadhi ya wana CCM waliokuwa wakisubiri kusafirishwa walisema kuwa wanalazimika kufanya hivyo ili kukilinda chama chao, lakini hata hivyo bado maamuzi yao yatategemea.

"Kura ni siri ya mtu, hapa tunakwenda kwenye mkutano, lakini tutaangalia wa kumpa kura," alisema Mussa Omar mkazi wa Kijiji cha Ruyaya wilayani Kilwa.

Naye mgombea urais wa CUF Profesa Ibrahim Lipumba aliwataka wakazi wa Kijiji cha Lihimalyao kumchagua awe rais na ***** kuwa mbunge wao kuliko kumchagua Madabida ambaye haishi Kilwa.

"Unakwenda kumchagua TX Madabida anayeishi Dar es Salaam? Akitoka Bungeni hatakuja Kilwa, bali atakwenda Dar es Salaam. Mchagueni ***** wa hapahapa," alisema Lipumba.

***** ambaye jina lake halisi ni Suleiman Said Bungala ni mume wa aliyekuwa mbunge wa viti maalumu CUF, Mwanawetu Zarafi.

 
huyo mbunge wa huko kilwa kusini anaitwa sele bungala aka(al-maarouf) *****,kwahiyo hapo hajatukanwa,ndo jina lake hasa!.. <BR>nape naye aache unafiki,huyu ***** siyo mfanyabiashara bali anachofanya ni kuwashawishi wananchi wasikubali kuuza mazao yao <BR>katika mfumo wa stakabadhi ghalani kwa kuwa unawacheleweshea malipo yao(mara nyingine hawalipwi kabisa kile kiasi kinachobaki <BR>baada ya kupokea malipo ya awali)!.. <BR>kwahiyo jamaa anatekeleza sera ya chama chake(ambayo ni kuachana na mfumo huo wa stakabadhi ghalani kwa kuwa haujawaletea <BR>unafuu na tija wananchi husika)!.. <
 
mbunge anaweza kuwa anafanya biashara ya ulanguzi wewe nape unafuatilia wabunge lakini ukweli fuatlia hata wale walioenda UK wanatuaibisha tu maana huwezi jibu kama juzi uliona Ndungai alivyo tuaibisha wabunge wako unao watetea ni vilazi hata huwezi kuwanusuri hata kwa kuvua nguo ukaendelea kutoa sera. hawabebeki ila mnahitajim kupata kikombe kwa babu may be kitawasaidia maana wote ni marehemu kuanzia mkulu hadi dagaa
 
Wana JF,

Habari nilizozipata ni kwamba huyu kijana anayeitwa Nape anafanya mchakato wa kuimaliza CCM kabla ya kuisha 2012. Habiri hizi zinasema mchakato wa kuianzisha vyama vipya vya Siasa unaendelea huku kukiwa na Mapacha watatu na chama chao na Nape kwenye CCK na wazalendo wakiamini wao watabaki na CCM.

Kwa hali ilivyo sasa nape ame realize kuwa kwenye CCM hatoki hata angefanyaje na hii ni baada ya kuzungukia mikoa ya Dodoma, Singida, Tabora, na sasa huko kusini ambako wanafikiri ni ngome yao lakini wamekutana na upinzani mkubwa sana kutoka kwa wananchi wa huko.

Sasa wamekaa na kuona kama huko ambako wanadhani ni kwao/ngoe ya CCM watu wamepinda hivyo je wakienda kwenye mikoa ya kanda ya Kaskazini, Kanda ya Ziwa mikoa ya Mwanza, Mara, Bukoba, Geita Iringa, Mbeya, Shinyanga, Arusha, Kilimanjaro, Manyara, Kigoma etc. hali itakuwaje? ndicho kinachowapa presha maana wao walifikiri watanzania bado ni wale wa miaka ya tisini.

Habari za ndani zinasema Lowasa, Chenge na Rostam bado wana nguvu ya kifedha sana na wako tayari kuona CCM inavunjika kulikoni kuhukumiwa na kina Nape ndani ya chama.

Natoa hoja.
 
Mimi sio ccm lakini kwa hili namfagilia Nape, chuki zisitufanye tuwe vipofu
 
Wana JF,

Habari nilizozipata ni kwamba huyu kijana anayeitwa Nape anafanya mchakato wa kuimaliza CCM kabla ya kuisha 2012. Habiri hizi zinasema mchakato wa kuianzisha vyama vipya vya Siasa unaendelea huku kukiwa na Mapacha watatu na chama chao na Nape kwenye CCK na wazalendo wakiamini wao watabaki na CCM.

Kwa hali ilivyo sasa nape ame realize kuwa kwenye CCM hatoki hata angefanyaje na hii ni baada ya kuzungukia mikoa ya Dodoma, Singida, Tabora, na sasa huko kusini ambako wanafikiri ni ngome yao lakini wamekutana na upinzani mkubwa sana kutoka kwa wananchi wa huko.

Sasa wamekaa na kuona kama huko ambako wanadhani ni kwao/ngoe ya CCM watu wamepinda hivyo je wakienda kwenye mikoa ya kanda ya Kaskazini, Kanda ya Ziwa mikoa ya Mwanza, Mara, Bukoba, Geita Iringa, Mbeya, Shinyanga, Arusha, Kilimanjaro, Manyara, Kigoma etc. hali itakuwaje? ndicho kinachowapa presha maana wao walifikiri watanzania bado ni wale wa miaka ya tisini.

Habari za ndani zinasema Lowasa, Chenge na Rostam bado wana nguvu ya kifedha sana na wako tayari kuona CCM inavunjika kulikoni kuhukumiwa na kina Nape ndani ya chama.

Natoa hoja.

Mwongo mkubwa wewe, kama Nape anakubalika sana nyumbani na ni ngome haswa.
 
Sitaweza shangaa sana nitakaposikia ccm imegawanyika vipande vipande,kwanza itakuwa furaha kwa tuliowengi,ninachohofia ccm hataweza kuwafukuza mapacha watatu.
 
Mimi sio ccm lakini kwa hili namfagilia Nape, chuki zisitufanye tuwe vipofu

suhala hapa sio CCM suhala ni wao kuhacha kuchekea maovu yenye madhala kwa wananchi
wengi wao hawana taarifa za kutosha kuhusu masoko na sheria za nchi
yeye angetoa angetoa mwongozo au ushauri kwa hao wakulimu
au angemuomba mkuu wa wiliya hakomeshe hiyo hali sio kusema rudi bungeni
hakuna haja ya kuwa na mwakilishi kama huyo
 
Hivi huyo mbunge ni wa Chama Gani jamani? .... hvi kweli nape ni kakosa ustaarabu kiasi gani kutumia lugha ya matusi hivi?? kama mbunge alichaguliwa na wananchi na si yeye
HUYU MBUNGE NI WA CHAMA CHA CUF,hUYU NI MPIGANAJI WA UKWELI,CCM WOTE HAPA KILWA WANAMGWAYA,HUYU JAMAA ANAWATETEA WAKULIMA AMBAO SERIKALI YA CCM ILIZOEA KUWABURUZA,YEYE ANACHOFANYA NI KUWAWEZESHA WAKULIMA WA UFUTA KUWA HURU KATIKA SOKO NA WALA SIO KULAZIMISHWA MAHARA PA KUUZA MAZAO YAO.
 
HUYU MBUNGE NI WA CHAMA CHA CUF,hUYU NI MPIGANAJI WA UKWELI,CCM WOTE HAPA KILWA WANAMGWAYA,HUYU JAMAA ANAWATETEA WAKULIMA AMBAO SERIKALI YA CCM ILIZOEA KUWABURUZA,YEYE ANACHOFANYA NI KUWAWEZESHA WAKULIMA WA UFUTA KUWA HURU KATIKA SOKO NA WALA SIO KULAZIMISHWA MAHARA PA KUUZA MAZAO YAO.

Huyu mbunge anapashwa kujibu hizi tuhuma ili tupate pande mbili
kuna siasa hapa kwenye hii kitu asije kuwa anatetea tumbo maana siku hizi sio uongo
anakula mafaa tu bila mazoe
 
Huyu ndio mbunge wetu,mpiganaji wa ukweli,ccm yote kimya wanapo muona huyu jamaa huku kilwa kusini,na moja ya kitu kilicho mpa ubunge ni suala hili la ufuta.hapo mwanzo wakulima wanalima,wanavuna pasipo msaada wowote kutoka serikalini,inapo fika muda wa mauzo serikali inajifanya inakuja kutoa msaada kwa kuwakataza wakulima kuuza mazao yao sehemu ambayo wao wanaona inawafaa na kuwalazimisha wauze kwenye chama cha ushirika,wanasahau kilimo ni biashara wameshazoea kutoa sadaka malizetu kama wanavyo gawa madini yetu.mkulima anaangalia kuuza ufuta shilingi 1200 nakupata pesa zako hapohapo au kuuza kwenye chama cha ushirika kwa sh 1000 na kusubiri ongezeko la sh 100 kwa muda usio fahamika kipi ni bora? Hata wewe jibu ni kuuza live sh 1200.na kwa swala hili ni wakulima wenyewe ndio wanalifagiria na ndio maana wakamchagua mpiganaji ili awatetee.
 
kwa hiyo unatetea ufisadi au?
weka sawa kwanza hiyo ndio nitakujibu maana sioni uhusiano wa mtoto na watu wazima na wizi au kuwapola wananchi
mtoto Hana sense za ufahamu kama mtu mzima ndio maana akinya uwezi kumkata mkono wako


ANGEKUWA ANANUNUA MUHINDI HUO UFUTA WALA USINGESIKIA MATUSI.AFADHALI HATA HUYO MBUGE ANAWAFARIJI WANANCHI WAKE KWA HICHO KIDOGO......WANGEKUWA WAHIINDI LABDA HATA WASINGEPATA WANACHOKIPATA SASA HIVI.....TUSIPENDE USHABIKI USIO KUWA NA MISINGI......KILA MFANYA BIASHARA ALIOPO TANZANIA NI MLANGUZI KAMA YUPO ANAE SEMA SIO ANYOOSHE KIDOLE
 
Huyu ndio mbunge wetu,mpiganaji wa ukweli,ccm yote kimya wanapo muona huyu jamaa huku kilwa kusini,na moja ya kitu kilicho mpa ubunge ni suala hili la ufuta.hapo mwanzo wakulima wanalima,wanavuna pasipo msaada wowote kutoka serikalini,inapo fika muda wa mauzo serikali inajifanya inakuja kutoa msaada kwa kuwakataza wakulima kuuza mazao yao sehemu ambayo wao wanaona inawafaa na kuwalazimisha wauze kwenye chama cha ushirika,wanasahau kilimo ni biashara wameshazoea kutoa sadaka malizetu kama wanavyo gawa madini yetu.mkulima anaangalia kuuza ufuta shilingi 1200 nakupata pesa zako hapohapo au kuuza kwenye chama cha ushirika kwa sh 1000 na kusubiri ongezeko la sh 100 kwa muda usio fahamika kipi ni bora? Hata wewe jibu ni kuuza live sh 1200.na kwa swala hili ni wakulima wenyewe ndio wanalifagiria na ndio maana wakamchagua mpiganaji ili awatetee.

KATIBU wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa, Itikadi na Uenezi Nape Nnauye, ametangaza kiama cha walanguzi wa ufuta

*****(Bweg.e) rudi bungeni kama hujui kazi yako ni kuwatetea wananchi, basi bora ujiuzulu
wananchi wapate mwakilishi na si mlanguzi" alisema Nape
.

Alisema wakati bei ya dira mwaka huu ni Sh 1,000 ambayo Serikali iliagiza mkulima alipwe yote ndio asubiri malipo ya pili ambayo nayo yatakuwa mazuri kwani bei ya ufuta safari hii ni nzuri, walanguzi wananunua ufuta kwa kati ya Sh 1,150 na Sh 1,200 ambayo ni wizi kwa .

hata mimi nilishindwa kuelewa wizi hapo huko wapi?
wakuna wengine wanang'ang'ania tumpongeze kungekuwa na wizi mimi navyo jua
ccm kwa sasa wako DESPERATE kupa mtu wa kutoa mfano ili waonekane wanafanyaka vizuri
hasa huyu wa upindani angekuwa safi sana kwao

yeye asema alikuwa MARKETING PERSONNEL wa NMB na CRDB ("Mizani za vyama vyetu vya ushirika imepimwa na wakala wa vipimo hivyo ni sahihi na tayariS yenu imeshasimamia upatikanaji wa bilioni kumi na moja kutoka benki za NMB na CRDB kwa ya ununuzi wa ufuta msimu huu, hivyo hakuna sababu ya wakulima wa ufuta kuendelea kudhulumiwa na hawa matapeli," Alisisitiza Nape. )
anataka hizo bank zikawalambe wakulima mapato yao, kama wao wamekopeshawana wakubali ushindani sio kuita watu walanguzi
lini bank zimetoa mkopo wa hivi hivi tu bila manufaa



WIVU WA KIKE by x preda MKAPA
 
Unajua ndugu yangu huyu mbunge tumemchague wenyewe ili aweze kutusaidia kwenye suala hili,na hii ndio kazi tuliyo mtuma,huyu nape yeye kamezeshwa tu hajui game iliyopo uku.huku serikali inataka tuiuzie ufuta kwa nguvu lakini mbunge wetu mpendwa tumtuma atutetee ili tuweze kuuza ufata kwenye soko lolote lenye masilai,hebu angalia 1200 na 1000 .kwa hiyo mbunge hata akinunua kwa sh 1200 tutamuuuzia yeye kuli kuuza kwa shi 1000 na kungoja ongezeko la shi 50 kwa muda usio julikana.sisi tupo tayari kuuza popote kwa mtu yoyote iwapo bei itakuwa nzuri na sio kama wanavyo sema hao wakina nape,wakitaka tuwauzie wao inabidi wapande bei basi.
 
sasa Nape amfanye nini? keshamwambia jamaa atajirekebisha na kuacha ulanguzi....kwa nini tunapenda sana kumshambulia Nape hata kwenye mazuri? kwazna badilisha tittle ya thread...iandike kiustaarabu acha jazba

sasa mbona mnamshambulia jk anaèposema wezi wa epa warudishe pesa
mambo yaishe? kweli mtu akipenda chongo huita kengeza
 
Yawezekana Nape anatumika kuwapotosha wananchi kwenye mambo ya msingi kiuchumi kwa manufaa ya wafadhili wa CCM

mbunge wa singida kila siku anausishwa na bidhaa za magendo kutoka na kuingia malawi naye amasemi.
tatizo la CUF siku hizi wako kama wamakata centre boilt wanakosa ushirikiano hii kitu ingemtafuna sana dogo kwa upayukaji wake
 
mimi sio ccm lakini kwa hili namfagilia nape, chuki zisitufanye tuwe vipofu
acha kumfagilia mtu kwa kitu usicho kijua,mbunge wetu anatutetea wakulima tuwe huru katika
swala la kuuza mazao yetu ya biashara,ccm na sera zenu ndio mnatunyonya ,mnatulazimsha tuwauzie nyinyi kwa bei mnayo taka nyinyi wakati soko halipo hivyo.
 
acha kumfagilia mtu kwa kitu usicho kijua,mbunge wetu anatutetea wakulima tuwe huru katika
swala la kuuza mazao yetu ya biashara,ccm na sera zenu ndio mnatunyonya ,mnatulazimsha tuwauzie nyinyi kwa bei mnayo taka nyinyi wakati soko halipo hivyo.

mkuu hawa wakomalieni vyama vya ushirika ni chanzo cha umasikini wa wakuli , kwanza zinakopa sana wakulima harafu ahadi hewa ni kama ccm,
ni sehemu chache sana wamekombokwa kwa hivi vyama, kama kuna mnunuzi anabei nzuri nyie nendeni huko .

kuna sehemu nyingine walikuwa wanachoma maghala yao kwa sababu ya ukatiri wao kwa wakulima
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom