MJIMPYA
JF-Expert Member
- Mar 27, 2011
- 506
- 272
Kwa sisi wapiga kura tusio na ushabiki wa vyama au viongozi, tunafurahishwa kuona siasa balanced.
Tulizoea kusoma habari za upande mmoja hasa hapa JF, lakini baada ya JK kumteua kijana Nape ameleta changamoto.
Kwa sasa hata wale waliozoea kutoa tuhuma kila siku, sa hivi wako makini kupanga hoja zao maana wanajua yuko wa kuwajibu. Hivo hivo hata CCM kwa sasa nadhani hawawezi kujisemea tu make wanajua wako wanaofuatilia kuona kosa.
So mkuu Nape nakupongeza na ukiwa na nafasi wape vijana ili mlete siasa zenye mvuto na si za kizee tu.
Tulizoea kusoma habari za upande mmoja hasa hapa JF, lakini baada ya JK kumteua kijana Nape ameleta changamoto.
Kwa sasa hata wale waliozoea kutoa tuhuma kila siku, sa hivi wako makini kupanga hoja zao maana wanajua yuko wa kuwajibu. Hivo hivo hata CCM kwa sasa nadhani hawawezi kujisemea tu make wanajua wako wanaofuatilia kuona kosa.
So mkuu Nape nakupongeza na ukiwa na nafasi wape vijana ili mlete siasa zenye mvuto na si za kizee tu.