Nape na Zitto mbona hawasikiki Arumeru Mashariki?

Ulimakafu

JF-Expert Member
Mar 18, 2011
28,903
10,534
Katika harakati za kampeni za Ubunge huko Arumeru Mashariki sijawasikia wanasiasa maarufu Nape Mnauye na Zitto Kabwewakiwanadi wagombea wao huko.Kulikoni?
 
Nape ni kwa sababu ya beef lake na Lowasa,Zitto hataki nyota ya kuandikwa magazetini ifukiwe na Joshua Nassari,Vicent Nyerere,Mbowe na Dr Slaa ha ha I am the boss
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom