Nape kama kiongozi wa juu wa ccm amekuwa akitoa kauli za ajabu sana, huyu kijana nashindwa kuelewa ni vipi alipewa hiyo post, kwa kiongozi wa juu kabisa wa chama hapaswi kutoa kauli za ovyo kama mlevi wa pombe za kienyezi, kumbe uvccm hawakufanya makosa walipo mtimua, ushauri wangu wa bure kwa nape, jenga hoja za nguvu, waambie watanzania nn ccm imefanya ndani ya miaka 50, kama utashindwa fanya hivyo nitaamini kwamba kweli umetumwa na ccj kuingamiza ccm.