tindikalikali
JF-Expert Member
- Jan 14, 2011
- 4,855
- 1,117
Licha ya kupewa ushauri wa maana hapa jf, nape kaendeleza post zake zisizojitosheleza, baada ya majuzi kupost "chuo kik8 cha dodoma", leo kaandika "mchango wa vitambulisho vya taifa/utaifa katika uchumi", kilichofuatia ajajibu hata post moja iliyohitaji msimamo/ufanunuzi wake.