Mr Suggestion
JF-Expert Member
- May 2, 2011
- 605
- 308
safi sana vijana inaelekea mnaanza kuwa na akili kidogo. sasa nataka muendelee kujadili kama kweli wanauchungu na hizo pesa kwa nini wawe na uchungu na hizi na wasiwe na uchungu na milioni 7 isiyotozwa kodi wanayomlipa Slaa. Acheni kuwa makasuku hapa hakuna nia yeyote njema zaidi ya kutaka umaarufu. lakini kwa miaka hii yote mitano iliyopita alipokea. Amekumbuka nini mwaka huu? I know Zitto vizuri toka nikiwa naye UDSM. He is the same hajabadilika ila kwa ninyi msiomfahamu endeleeni kula chaka.
Kumbe nia yako ilikuwa ni kutuambia wewe ulisoma na zitto hiyo kali, mimi nilivyoona jina ACHEBE nikajua pointi nitakazozikuta ndani ni za kufa mtu, sasa naanza kupata wasiwasi kama wewe umesoma UD labda ulikuwa FPA pale tena option yako ilikuwa kucheza ngoma pale karibu na ofisi za Daruso sijui kama bado zipo pale au zimehama