pstar01884
Senior Member
- Sep 26, 2010
- 117
- 47
<br /><br /><br />
<br /><br />
<br />
Wakuu salaam,<br />
Nilikuwa kwenye kampeni ndo naingia Singida sasa.. Nimekuwa nikisoma maneno mengi sana juu ya Nape humu jf mengi kwakweli ni ya kunitukana na kunikejeli kiasi kwamba nadhani karibu ntaacha kuingia humu maana mwanzoni nilizoea ukiingia humu unakuta watu wanaongea vitu seriuos tena kwa ushahidi mkubwa sio kuokoteleza vijigazeti vya barabarani na kudai ndio ushahidi!!!!<br />
Kinachonipa tabu mara nyingi kujadili hoja flani humu jf kwasasa licha ya matusi tena yasiyo hata na tija, lakini pia baada ya hoja kufafanuliwa pengine kinyume na mods wanavyotaka utaona hiyo thread inaondolewa....<br />
Haya ya Mwanahalisi ni uongo wa ,chana peupe, hata watu wanaosoma hiyo stori na kujua nilikuwa wapi siku inayotajwa ya tarehe tisa ni aibu kubwa... Kama nasi humu tunaweza kuamini,basi tunaipeleka pabaya jf yetu
<br />
Nape umeshindwa kujibu hoja za kule FB, huku kwa maGT utawezana nako? Tizama ulivyojibu kama umekatwa kichwa? Toja majibu ya hoja zilizotolewa sio unatuletea majibu ya jumla jumla. Tatizo lako umezoea propaganda matokeo yake kusema ukweli unaona ni dhambi. Shem on you.