makoye2009
JF-Expert Member
- Jun 12, 2009
- 2,638
- 1,218
Yaani hawa jamaa wanataka kujifanya nao ni Boys2Men kama enzi za JK na EL!!!
Ukichanganya akili ya Nnepi na Mchumba bila shaka utapata.......................!!!!!
Hawa jamaa 2 akili zao zinafanana kama pacha. Wana midomo michafu utafikiri wana chemba za vyoo midomoni mwao. Ni Rais na Mwenyekiti dhaifu wa chama kama Kiwete ndiye anaweza kufanya kazi na mazezeta kama hawa.
Hivi watu wa magamba wanafikiri kama Baba wa Taifa angelikuwa hai angekubali kufanya kazi na wapuuzi kama hawa???Thubutu yake!
Ukichanganya akili ya Nnepi na Mchumba bila shaka utapata.......................!!!!!
Hawa jamaa 2 akili zao zinafanana kama pacha. Wana midomo michafu utafikiri wana chemba za vyoo midomoni mwao. Ni Rais na Mwenyekiti dhaifu wa chama kama Kiwete ndiye anaweza kufanya kazi na mazezeta kama hawa.
Hivi watu wa magamba wanafikiri kama Baba wa Taifa angelikuwa hai angekubali kufanya kazi na wapuuzi kama hawa???Thubutu yake!