Kuchasoni Kuchawangu
JF-Expert Member
- Aug 21, 2012
- 603
- 340
Mwigulu Nchemba leo anatarajia kuanza mkutano wake hapa Nkinga hivi sasa Nipo uwanjani kuwaletea kila kitu.endelea kufuatilia.
Mwigulu Nchemba leo anatarajia kuanza mkutano wake hapa Nkinga hivi sasa Nipo uwanjani kuwaletea kila kitu.endelea kufuatilia.
Mbona Mwigulu alilalamika sana kwamba wabunge wengine kutoka majimbo mengine walivamia jimbo lake la Iramba na kuendesha kampeni za kisiasa! atuambie sasa yeye huko Igunga ni kwake?
Hiki chama kwisha sasa,watu walioongoza vurugu,mauaji na matendo ya kihuni na kusababisha chama chao kipoteze kiti cha ubunge mahakamani,wanatumwa tena Igunga?!
Mwigulu Nchemba leo anatarajia kuanza mkutano wake hapa Nkinga hivi sasa Nipo uwanjani kuwaletea kila kitu.endelea kufuatilia.
Mwigulu
Nchemba leo anatarajia kuanza mkutano wake hapa Nkinga hivi sasa Nipo
uwanjani kuwaletea kila kitu.endelea kufuatilia.
Hakuna taarifa zozozte za
kiitelijensia za kuwepo uvunjifu wa amani ili huo Mkutano upigwe
marufuku na Jeshi la Magamba?
Aiseeee babaaangu u2pe picha mkuuu umesema mwigulu na pepi watakuwepo igunga???
Nape na Mwigulu wapo hapa Nkinga.
Hali ni swari kabisa watu bado ni wachache sana.wanaJF nisaidie namna yakutuma picha kutumia simu niwaletee hapa jamvini.
Hali ni swari kabisa watu bado ni wachache sana.wanaJF nisaidie namna yakutuma picha kutumia simu niwaletee hapa jamvini.