Ni misemo ya babu zetu kuwa '' DEBE TUPU HALIKOSI KUTIKA'' nape inabidi kumuonea huruma kwani hajui anachokifanya kama chama naye HANA DIRA WALA MUELEKEO hivi si ajabu kwa debe tupu kutika.
Ni dhahiri kifo cha nyani miti yote huteleza kwa sasa C.C.M haina jipya, mbele ya nguvu ya umma hawawezi kudanganya tena. Tumuuomde Dk slaa ampe notes za ufisadi Nape kama ana uwezo mzuri wa kusoma ili aweze kusoma na kuelewa maana ya ufisadi iikibidi apewe darasa na CHADEMA wenye mikakati yao ili ajue nini anazungumza.
Ni dhahiri kifo cha nyani miti yote huteleza kwa sasa C.C.M haina jipya, mbele ya nguvu ya umma hawawezi kudanganya tena. Tumuuomde Dk slaa ampe notes za ufisadi Nape kama ana uwezo mzuri wa kusoma ili aweze kusoma na kuelewa maana ya ufisadi iikibidi apewe darasa na CHADEMA wenye mikakati yao ili ajue nini anazungumza.