Mwananchi wa Kawaida
Member
- Feb 9, 2012
- 65
- 15
Bwana Nape Nnauye anasema eti wanaohamia upinzani hawawapi pressure kwa kauli kwamba hakuna chama cha upinzani kilichoanza bila wanachama kutoka CCM na kinyago wachonge wenyewe halafu kiwatishe?
Hivi ana maanisha nini? Ni wao ndo wanaanzisha upinzani au wamekosa counter act measures? Mh!!
Hivi ana maanisha nini? Ni wao ndo wanaanzisha upinzani au wamekosa counter act measures? Mh!!