Habari kutoka ndani ya vikao vya CCM zinasema kampeni ya CCM Igunga itaongozwa na Capt. mstaafu wa jeshi la wananchi wa Tanzania John Zephania Chiligati na Mwanasiasa kijana Nape Moses Nnauye.
Natamani kuziona kampeni hizi, eeh mola nijalie uzima nishuhudie jinsi ngamia anavyopita kwenye tundu la Sindano
Natamani kuziona kampeni hizi, eeh mola nijalie uzima nishuhudie jinsi ngamia anavyopita kwenye tundu la Sindano