CHEMPO
JF-Expert Member
- Nov 24, 2011
- 368
- 59
Napenda kukupongeza kiongozi wetu kwa kazi nzury uliyofanya wewe na viongozi wenzako hapo jagwani,mmeonyesha ukomavu sana,,sasa kiongozi wangu nape na sisi watu wa arusha tukutegemee lini kwenye viwanja vya nmc.ili tuwakate chadema kidomodomo..tuingie kwenye kambi yao kkama wao walivyofanya dsm majuzi...........
Natumaini utaweka tarehe vizury ili tujiandae kwa mikutano
ni hayo tu
Natumaini utaweka tarehe vizury ili tujiandae kwa mikutano
ni hayo tu