Nina MASHAKA na uwezo wako wa kufikiri vizuri...
Hebu Kuweni na moyo wa shukrani, kuna sehemu umesema kichwa cha habari hakiendani na maelezo ya ndani, amekujibu, naona unaendelea kurukia mambo yasiyo na msingi, wewe hata ukikielewa kiingereza namna gani bado utabakia mweusi yule yule ambaye waingereza wanakufananisha na sokwe.Please just use the language you know best.
Grammatical errors in your post above makes me sick.
Reading between lines is for Great Thinkers of which I doubt if you are one!
Mbona mara zote umekuwa mwepesi kushobokea mambo yasiyo yamsingi wala tija kwa chama chako? mfano unapo komalia suala la Shibuda suala ambalo lina shughulikiwa na chama husika. Hakuna kiongozi hata mmoja wa CDM amepoteza muda wake kumjadili Shibuda sababu wanajua "it's not a big deal" Hivi unadhania mzozo wa Shibuda utawapatia credits magamba? Hebu jaribuni kubuni mbinu mbadala za kukiokoa chama chenu. Yaani wewe dogo hujui mpaka sasa kuwa unakiua chama.
Safari hii mnalo..na imekula kwenu..Tatizo hamjui kuwa chama kinakufa. Watu wanataka maji, barabara, huduma bora za afya n.k. Muda huu siyo wa propaganda wala ahadi kama mlivyozoea. Uchaguzi wa 2015 wenye nafasi ya kutoa ahadi ni vyama vingine na siyo CCM. Ninyi tunataka mtatueleza kwa miaka 50 mmefanya nini ili mpimwe kwa hilo. Propaganda chafu na fitina hazito wasaidia. Bahati mbaya kwenu bado muna amini katika hayo kama silaha ya kisiasa. Kwa taarifa yenu CCM ina chukiwa kuliko mnavyo dhania. Vijijini ambako palikuwa ngome yenu ya kujizolea ushindi wa bwerere baada ya kuwahonga pesa, vyakula, pombe za kienyeji, t-shirt, khanga, kofia na ahadi kemkem zisizo tekelezeka hivi sasa wana mwamko wa ajabu kufanya mageuzi.
Sasa basi 2015 pelekeni mbinu zenu hizo muone kazi. Kimsingi kuna kila dalili za kushindwa. mfano maswahiba wenu katika kufanikisha mbinu chafu kwenye chaguzi wenyeviti wa vijiji na mabalozi kitendo cha kukataa kugombea uongozi ni pigo kubwa na kiashiria nini kitatokea siku zijazo. Nani atafanikisha mikakati yenu? mfano mwingine ni kwamba zaidi ya 70% ya population ya nchi hii ni vijana ambao wengi wamefikisha umri wa kupiga kura na hawa ndiyo wanaongoza kuichukia CCM na wanaihama. Je, mnatarajia nani atawapatia ushindi, wazee?
Ushauri wangu jiandaeni kuwa kambi rasmi ya upinzani, mkichelea nafasi hiyo itachukuliwa na CUF au NCCR. Msipoteze muda wenu kufikiria kudumu kwenye dola. Wenye maono tumekwisha liona hilo.
Usishangae, ni kawaida ya waswahili kusoma heading tu.Plz read btn the lines and not rush to comment.Don't u know that the guy waste time by concentrating on issues not of his concern? Makamba accused him, so he should answer him and not deal with matters of less concern. Other addition are issues he should rely upon. So I'm skeptical of ur level of understanding..
Sikio la kufa halisikii dawaMbona mara zote umekuwa mwepesi kushobokea mambo yasiyo yamsingi wala tija kwa chama chako? mfano unapo komalia suala la Shibuda suala ambalo lina shughulikiwa na chama husika. Hakuna kiongozi hata mmoja wa CDM amepoteza muda wake kumjadili Shibuda sababu wanajua "it's not a big deal" Hivi unadhania mzozo wa Shibuda utawapatia credits magamba? Hebu jaribuni kubuni mbinu mbadala za kukiokoa chama chenu. Yaani wewe dogo hujui mpaka sasa kuwa unakiua chama.Safari hii mnalo..na imekula kwenu..Tatizo hamjui kuwa chama kinakufa. Watu wanataka maji, barabara, huduma bora za afya n.k. Muda huu siyo wa propaganda wala ahadi kama mlivyozoea. Uchaguzi wa 2015 wenye nafasi ya kutoa ahadi ni vyama vingine na siyo CCM. Ninyi tunataka mtatueleza kwa miaka 50 mmefanya nini ili mpimwe kwa hilo. Propaganda chafu na fitina hazito wasaidia. Bahati mbaya kwenu bado muna amini katika hayo kama silaha ya kisiasa. Kwa taarifa yenu CCM ina chukiwa kuliko mnavyo dhania. Vijijini ambako palikuwa ngome yenu ya kujizolea ushindi wa bwerere baada ya kuwahonga pesa, vyakula, pombe za kienyeji, t-shirt, khanga, kofia na ahadi kemkem zisizo tekelezeka hivi sasa wana mwamko wa ajabu kufanya mageuzi.Sasa basi 2015 pelekeni mbinu zenu hizo muone kazi. Kimsingi kuna kila dalili za kushindwa. mfano maswahiba wenu katika kufanikisha mbinu chafu kwenye chaguzi wenyeviti wa vijiji na mabalozi kitendo cha kukataa kugombea uongozi ni pigo kubwa na kiashiria nini kitatokea siku zijazo. Nani atafanikisha mikakati yenu? mfano mwingine ni kwamba zaidi ya 70% ya population ya nchi hii ni vijana ambao wengi wamefikisha umri wa kupiga kura na hawa ndiyo wanaongoza kuichukia CCM na wanaihama. Je, mnatarajia nani atawapatia ushindi, wazee?Ushauri wangu jiandaeni kuwa kambi rasmi ya upinzani, mkichelea nafasi hiyo itachukuliwa na CUF au NCCR. Msipoteze muda wenu kufikiria kudumu kwenye dola. Wenye maono tumekwisha liona hilo.
Hebu Kuweni na moyo wa shukrani, kuna sehemu umesema kichwa cha habari hakiendani na maelezo ya ndani, amekujibu, naona unaendelea kurukia mambo yasiyo na msingi, wewe hata ukikielewa kiingereza namna gani bado utabakia mweusi yule yule ambaye waingereza wanakufananisha na sokwe.
Huyu dada amemshauri nepi kitu cha msingi sana, kamshauri the best way ya kurespond kwa shutuma za mzee makamba, kwamba ahakikishe chama chake kinaisimamia serikali kuondoa kero zinazolalamikiwa na wananchi, au ulitaka amshauri nepi kukimbilia kwenye vyombo vya habari na kusema kwamba makamba ni mmoja ya wanaccm waliosababisha idadi ya kura za jakaya zilizotangazwa na na tume ya taifa ya uchaguzi 2010 zipungue? au kwamba makamba aliwakumbatia mafisadi kwa muda mrefu sana na kusababisha Gamba lao kushikamana na chama kiasi kwamba sasa imekuwa ngumu kuwaondoa sababu italazimisha kuondoa na ngozi?
Nina MASHAKA na uwezo wako wa kufikiri vizuri...