Nape mjibu Makamba kuwa kwanini unaifanya CCM mali yako?

Chaimaharage

JF-Expert Member
Apr 3, 2012
211
78
Mbona mara zote umekuwa mwepesi kushobokea mambo yasiyo yamsingi wala tija kwa chama chako? mfano unapo komalia suala la Shibuda suala ambalo lina shughulikiwa na chama husika. Hakuna kiongozi hata mmoja wa CDM amepoteza muda wake kumjadili Shibuda sababu wanajua "it's not a big deal" Hivi unadhania mzozo wa Shibuda utawapatia credits magamba? Hebu jaribuni kubuni mbinu mbadala za kukiokoa chama chenu. Yaani wewe dogo hujui mpaka sasa kuwa unakiua chama.

Safari hii mnalo..na imekula kwenu..Tatizo hamjui kuwa chama kinakufa. Watu wanataka maji, barabara, huduma bora za afya n.k. Muda huu siyo wa propaganda wala ahadi kama mlivyozoea. Uchaguzi wa 2015 wenye nafasi ya kutoa ahadi ni vyama vingine na siyo CCM. Ninyi tunataka mtatueleza kwa miaka 50 mmefanya nini ili mpimwe kwa hilo. Propaganda chafu na fitina hazito wasaidia. Bahati mbaya kwenu bado muna amini katika hayo kama silaha ya kisiasa. Kwa taarifa yenu CCM ina chukiwa kuliko mnavyo dhania. Vijijini ambako palikuwa ngome yenu ya kujizolea ushindi wa bwerere baada ya kuwahonga pesa, vyakula, pombe za kienyeji, t-shirt, khanga, kofia na ahadi kemkem zisizo tekelezeka hivi sasa wana mwamko wa ajabu kufanya mageuzi.

Sasa basi 2015 pelekeni mbinu zenu hizo muone kazi. Kimsingi kuna kila dalili za kushindwa. mfano maswahiba wenu katika kufanikisha mbinu chafu kwenye chaguzi wenyeviti wa vijiji na mabalozi kitendo cha kukataa kugombea uongozi ni pigo kubwa na kiashiria nini kitatokea siku zijazo. Nani atafanikisha mikakati yenu? mfano mwingine ni kwamba zaidi ya 70% ya population ya nchi hii ni vijana ambao wengi wamefikisha umri wa kupiga kura na hawa ndiyo wanaongoza kuichukia CCM na wanaihama. Je, mnatarajia nani atawapatia ushindi, wazee?

Ushauri wangu jiandaeni kuwa kambi rasmi ya upinzani, mkichelea nafasi hiyo itachukuliwa na CUF au NCCR. Msipoteze muda wenu kufikiria kudumu kwenye dola. Wenye maono tumekwisha liona hilo.
 
Wishful thinking.
Kichwa cha habari na habari yenyewe wapi na wapi

Plz read btn the lines and not rush to comment.Don't u know that the guy waste time by concentrating on issues not of his concern? Makamba accused him, so he should answer him and not deal with matters of less concern. Other addition are issues he should rely upon. So I'm skeptical of ur level of understanding..
 
Plz read btn the lines and not rush to comment.Don't u know that the guy waste time by concentrating on issues not of his concern? Makamba accused him, so he should answer him and not deal with matters of less concern. Other addition are issues he should rely upon. So I'm skeptical of ur level of understanding..

Nina MASHAKA na uwezo wako wa kufikiri vizuri...
 
Plz read btn the lines and not rush to comment.Don't u know that the guy waste time by concentrating on issues not of his concern? Makamba accused him, so he should answer him and not deal with matters of less concern. Other addition are issues he should rely upon. So I'm skeptical of ur level of understanding..
Please just use the language you know best.
Grammatical errors in your post above makes me sick.
Reading between lines is for Great Thinkers of which I doubt if you are one!
 
Nina MASHAKA na uwezo wako wa kufikiri vizuri...
hayo ni mashaka tu!angalia hoja na ujibu hoja,wewe ni kiongozi mkubwa ndani ya ccm.sitegemei kuona ukirespond kihuni namna hii.kanusha hoja kwa kujenga hoja na sio kupuuzia hoja.
Naamini mleta thread ana hoja iliyokufanya ukachangia thread hii.
Je unaifanya ccm mali yako au la.kama hapana au ndio toa ufafanuzi wa kupinga au kukubali.kumbuka wewe ni katibu mwenezi wa ccm acha kukurupuka.
 
Baba yake alijaribu hivyo akang'olewa kwenye hicho cheo na yeye akichezecheza na hayo mambo yake ya kujua sana

Nani na Mbaguzi na nani ni CCM zaidi watamweka kando na hivi anavyojifanya haibi atajikuta hata nyumba
 
Sita mlaumu Nape hata siku moja najua tatizo ni chama anachotumikia hakina tena uwezo wa kuongoza nchi hii na kimepoteza mwelekeo. Sasa katika hali kama hii nape anapewa abadili image ya CCM leo ambako karibu kila kijana amesoma, ukileta hoja watu leo wanajua ni nini unamaanisha. Katika hali kama hii unamlaumu Nape kwa lipi. Nchi maji ya bomba ni anasa, umeme bidhaa hadimu, elimu ni kwa watoto wa wakubwa waliobaki kasome yeboyebo, miji yote Tanzania haina plan, barabara hakuna, hospitalini hakuna dawa na mengine mengi. Hivi Nape leo hii anaweza kutuambia nini tukiamini hiki chama cha CCM?
Nina MASHAKA na uwezo wako wa kufikiri vizuri...
 
Nina MASHAKA na uwezo wako wa kufikiri vizuri...

Jibu hoja ya mleta mada, kwani tuhuma za Makamba kwako kila mtu alisikia. Kwa nafasi yako ndani ya CCM hupaswi kujibu kihuni kama unavyofanya sasa. Ni bora ukae kimya kama huna jibu kuliko kukimbia hoja kwa majibu mepesikama vile uko uwanja wa fisi usiku.
 
Nina MASHAKA na uwezo wako wa kufikiri vizuri...

Ccm imeoza na kuchukiwa na watanzania coz of ufisadi,utapel,ubabaishaji na ahadi hewa.Acheni uhuni na ulimbukeni eti mtatawala milele!,hakuna dola ilyotawala milele!.Mvuto kwa sasa hamnao tena.Ona mnavyoiba hela za watz,LIPENI PESA ZA WANAFUNZ WA ELIMU YA JUU.UNAJIFANYA MJUAAJI KUMBE PUMBA TUPU HUNA JIPYA WEWE SIASA WEWE HAUIWEz NA HUO UENEZ ULIPEWA TU KAMA FADHILI,CCM INAKUFIA MIKONONI MWAKO.Kaz unayo!
 
Mbona mara zote umekuwa mwepesi kushobokea mambo yasiyo yamsingi wala tija kwa chama chako? mfano unapo komalia suala la Shibuda suala ambalo lina shughulikiwa na chama husika. Hakuna kiongozi hata mmoja wa CDM amepoteza muda wake kumjadili Shibuda sababu wanajua "it's not a big deal" Hivi unadhania mzozo wa Shibuda utawapatia credits magamba? Hebu jaribuni kubuni mbinu mbadala za kukiokoa chama chenu. Yaani wewe dogo hujui mpaka sasa kuwa unakiua chama.

Safari hii mnalo..na imekula kwenu..Tatizo hamjui kuwa chama kinakufa. Watu wanataka maji, barabara, huduma bora za afya n.k. Muda huu siyo wa propaganda wala ahadi kama mlivyozoea. Uchaguzi wa 2015 wenye nafasi ya kutoa ahadi ni vyama vingine na siyo CCM. Ninyi tunataka mtatueleza kwa miaka 50 mmefanya nini ili mpimwe kwa hilo. Propaganda chafu na fitina hazito wasaidia. Bahati mbaya kwenu bado muna amini katika hayo kama silaha ya kisiasa. Kwa taarifa yenu CCM ina chukiwa kuliko mnavyo dhania. Vijijini ambako palikuwa ngome yenu ya kujizolea ushindi wa bwerere baada ya kuwahonga pesa, vyakula, pombe za kienyeji, t-shirt, khanga, kofia na ahadi kemkem zisizo tekelezeka hivi sasa wana mwamko wa ajabu kufanya mageuzi.

Sasa basi 2015 pelekeni mbinu zenu hizo muone kazi. Kimsingi kuna kila dalili za kushindwa. mfano maswahiba wenu katika kufanikisha mbinu chafu kwenye chaguzi wenyeviti wa vijiji na mabalozi kitendo cha kukataa kugombea uongozi ni pigo kubwa na kiashiria nini kitatokea siku zijazo. Nani atafanikisha mikakati yenu? mfano mwingine ni kwamba zaidi ya 70% ya population ya nchi hii ni vijana ambao wengi wamefikisha umri wa kupiga kura na hawa ndiyo wanaongoza kuichukia CCM na wanaihama. Je, mnatarajia nani atawapatia ushindi, wazee?

Ushauri wangu jiandaeni kuwa kambi rasmi ya upinzani, mkichelea nafasi hiyo itachukuliwa na CUF au NCCR. Msipoteze muda wenu kufikiria kudumu kwenye dola. Wenye maono tumekwisha liona hilo.
Sidhani kuwa ni kila kitu Nape anahitaji kitolea instant expalinations.Vingine akivipa time waliovisema wanaweza jikuta wakirekebisha just because gazeti moja limenadika au mtu mwingine kauliza.Vingine vinakuwa dynamic an evolving kutaka toa maelezo ni kujiweka pabaya kwani muda si mrefu vinakuja vikiwa na sura nyingine na yenye kujipinga.
Tunaweza elewa mashinikizo ya CDM na credits za mwanzo wanazotaka zichukua ila ajue kuwa pia km CCM si moja anaweza kuwa anawahi toa maelezo yanayomkaanga ktk macho na mioyo wana ccm achilia mbali ya wananchi. Kwa mfano sidhani km January hayupo kambi nzuri ktk CCM kuliko Nape. Na kuingia ktk bifu na baba Mtu kunanfaidisha nape kisiasa unless karidhia alipofikia.
Angepotezea au ampe msaidizi wake kidogo ingekuwa imepita, kwa CCM ina mabaya mengi ymepasuliwa na hayana majibu kuliko hata hili.
 
Nina MASHAKA na uwezo wako wa kufikiri vizuri...

Mkuu Nape acha kutoa povu, unatakiwa kujibu hoja ya msingi, mzee makamba amesema 'unakifanya chama kama mali yako'. Kwa kuwa wewe ni mtu wa uenezi, ungitakiwa kumjibu kama ufanyavyo kwenye ishu mbalimbali. Pia kuhusu kuwa na mashaka na 'uwezo wa akili', wewe ndio unatakiwa utiliwe mashaka juu ya akili yako, kadili siku zinavyokwenda sijui akili zako zinaamia wape, you have a lot of double standards... Punguza mapovu, jibu hoja mkuu...
 
Mkuu Nape acha kutoa povu, unatakiwa kujibu hoja ya msingi, mzee makamba amesema 'unakifanya chama kama mali yako'. Kwa kuwa wewe ni mtu wa uenezi, ungitakiwa kumjibu kama ufanyavyo kwenye ishu mbalimbali. Pia kuhusu kuwa na mashaka na 'uwezo wa akili', wewe ndio unatakiwa utiliwe mashaka juu ya akili yako, kadili siku zinavyokwenda sijui akili zako zinaamia wape, you have a lot of double standards... Punguza mapovu, jibu hoja mkuu...
Hapa katika mada hii kuna hoja gani lakini?
Tuache uvivu wa kuchambua mambo.
Mtoa mada msingi wake mkuu ni chuki yake kwa Nape, sasa mtu unataka ajibu hoja, Nape atajibu hoja gani ambayo haipo.
Tuache kujiingiza katika nadharia ndanifu isiyo na kichwa wala miguu halafu tutegemee majibu kutokana na ujinga wako mwenyewe.
Jibu la kuwepo au kutokuwepo kwa mada muulize mtoa mada ambaye amesepa.
 
Hapa katika mada hii kuna hoja gani lakini?
Tuache uvivu wa kuchambua mambo.
Mtoa mada msingi wake mkuu ni chuki yake kwa Nape, sasa mtu unataka ajibu hoja, Nape atajibu hoja gani ambayo haipo.
Tuache kujiingiza katika nadharia ndanifu isiyo na kichwa wala miguu halafu tutegemee majibu kutokana na ujinga wako mwenyewe.
Jibu la kuwepo au kutokuwepo kwa mada muulize mtoa mada ambaye amesepa.

Heee!! Imeshakuwa mambo ya chuki kwa Nape, au hujasoma heading vizuri nini? Okay, siwezi kukulaumu lakini ishu ya msingi hapa, mfikishie ujumbe nape kuwa, anatakiwa atoa kauli juu ya madai ya Y. Makamba...
 
Back
Top Bottom