Ringo Edmund
JF-Expert Member
- May 10, 2010
- 4,879
- 1,125
ukiona unaajiriwa kama dereva lakini ukitaka kushika usukani wa gari unakatazwa na kuambiwa ubebe mizigo jua wewe ni utingo tu.
pole yake huyu kijana kama bado anajiita ni mwenezi na alikatazwa kueneza igunga sijui uenezi wake ni wa marekani au ulaya.:lol::spy::juggle:
pole yake huyu kijana kama bado anajiita ni mwenezi na alikatazwa kueneza igunga sijui uenezi wake ni wa marekani au ulaya.:lol::spy::juggle: