Nyetk
JF-Expert Member
- Feb 28, 2012
- 1,648
- 1,696
Nape anapo elekea ana changanyikiwa.
Achanganyikiwe mara ngapi?
Nape anapo elekea ana changanyikiwa.
wewe unavyoisemea Chadema huwa ni msemaji wa CDM yetu? au unatuonyesha jinsi gani ulivyo mnafiki na unavyodandia mambo yasiyokuhusu'
Jamani taarifa ya habari Leo usiku huu Nape kama kawaida yake akiongea kwa kufoka akiwa Mufindi amesema watumishi wa serikali wanaotumia ofisi za umma kutekeleza matakwa ya vyama fulani vya siasa sasa marufuku.
Source: TBC
Jamani taarifa ya habari Leo usiku huu Nape kama kawaida yake akiongea kwa kufoka akiwa Mufindi amesema watumishi wa serikali wanaotumia ofisi za umma kutekeleza matakwa ya vyama fulani vya siasa sasa marufuku.
Source: TBC
Anafanya kazi yake ipasavyo, huyo mmoja anawatosha.
mkuu acha roho mbaya wewe , ameze wembe ili iweje mkuuMimi ni mmojawao, mii ofisini kwangu kama net ipo masaa yote jf browser lazima iwepo naomba Nape apewe ripoti hii, na usiku kama hivi kwenye simu. Nape kama una wivu meza wembe
Jamani taarifa ya habari Leo usiku huu Nape kama kawaida yake akiongea kwa kufoka akiwa Mufindi amesema watumishi wa serikali wanaotumia ofisi za umma kutekeleza matakwa ya vyama fulani vya siasa sasa marufuku.
Source: TBC