Ni Mimi Msiogope
JF-Expert Member
- May 28, 2012
- 352
- 200
........Nape amemtaka Marando afute kauli au adhibitishe kauli yake. Nae Mwigulu kaonyesha kimemo alichoandikiwa na kamanda Mbowe na kusema kuwa kilikuwa na lugha kali sana, na amesema kuna siku kamanda Mbowe alienda akampiga biti live akiwa na Chiligati.
Source : ITV
Haha.. Nimependa hapo Mwishoni "Kamanda Mbowe alimfuata na kumpiga BITI mbele ya chiligati".. Nini chiligati bwn hata ingekuwa mbele ya JK unapigwa BITI tu kama unafanya vitu vya ajabu.
Sasa na leo kaongea kwa upole anaogopa kupigwa BITI...