Adharusi
JF-Expert Member
- Jan 22, 2012
- 14,402
- 7,310
Leo Mwigulu amekuwa mpole nafikiri mambo yamemfika
Kweli hata mi nimeshangaa..kaongea kiuruma
'vox populi vox dei'
Leo Mwigulu amekuwa mpole nafikiri mambo yamemfika
kwani Marando alisema wahusika ni ccm au mtoto wa kigogo wa ccm, kwani Nape ndo huyo mtoto wa kiongozi wa juu wa serikali mpaka atoe kauli yeye?au kiherehere kinamsumbua?
Nape amekosa cha kuongea huyo.
ooh..kumbe alimpiga bit live.THIS ONE ALSO IS A POTENTIAL SUSPECT IF ANYTHING HAPPEN TO NCHEMBI.........Nape amemtaka Marando afute kauli au adhibitishe kauli yake. Nae Mwigulu kaonyesha kimemo alichoandikiwa na kamanda Mbowe na kusema kuwa kilikuwa na lugha kali sana, na amesema kuna siku kamanda Mbowe alienda akampiga biti live akiwa na Chiligati.
Source : ITV
marando alikurupuka,ndio maana serikali ikiwapeleka wezi mahakamani yeye anaenda kuwatetea,huyu ndio wakili wa costa mahalu alietuibia akiwa balozi nje ya nchi.hata hizi kauli anazotoa ni utetezi dhaifu mno.
Siku ya ukombozi wa Taifa teule la Watanzania tazama yaja. Naam ile saa I karibu, Mungu mwenye enzi atakapo yafuta machozi yetu na kututoa toka katika makucha ya wanyang'anyi wa serkali dhalimu isiyojali wananchi wake.Pengine wewe na wenzako ndo hamnijui vizuri. Ntawakumbusha kiduchu, muulize Marando nilimfanya nini kwenye mdahalo wa Tanzania Tuitakayo!
Marando yupi mnayemtetea hapa? Huyu ambaye akipanda jukwaa la siasa nahubiri watuhumiwa wa pesa za EPA ni mafisadi, halafu akivaa kola ya Uwakili anasimama mahakamani kuwatetea?! ( najua mtasema yeye wakili, kwahiyo atatetea hata muuaji, ndo maana anatetea kampuni haramu ya Mzee Mtei na ataka watanzania waamini ni Chama cha siasa ?!!
Nauliza Marando huyuhuyu aliyekurupuka nilipomsema Katibu Mkuu wake wa Chama Dr. Slaa kuwa halipii kodi mshahara wake wa 12mii., akadai nilikula pesa za EPA kupitia mteja wake mmoja, alipobanwa na huyo mteja akakurupuka tena KWA MAANDISHI, akaomba radhi na kudai ALOTUMWA NA CHAMA CHAKE KUNICHAFUA KWA KUWA NILIMCHAFUA KATIBU MKUU WAKE.
SITAKI KUAMINI MARANDO MZEE NINAYEMUHESHIMU SANA NI WAKILI ANAYEWEZA KUTETEA MAMBO ASIYOYAJUA NA KUYAAMINI???! huko naomba nisifike nakaamini hivyo, kwani itakuwa mbaya sana.
chadema kweli mmechemka katika hili,mnapeleka uzushi ktk vyombo
Mahaba anayokupa Mwigulu ni zaidi ya anayopata Kanye West kwa Kim Kardnashan.......sio bure, hii haiwezi kuwa pesa tu lazima kuna mengine mazito-mazito
........Nape amemtaka Marando afute kauli au adhibitishe kauli yake. Nae Mwigulu kaonyesha kimemo alichoandikiwa na kamanda Mbowe na kusema kuwa kilikuwa na lugha kali sana, na amesema kuna siku kamanda Mbowe alienda akampiga biti live akiwa na Chiligati.
Source : ITV
kwa kweli mauaji mliyoyafanya iramba ni adhabu kubwa kwenu,hamtasameheka.nyie ni magaidi.mbona hamuui wachaga wenzenu kule moshi?