The Analyst
JF-Expert Member
- Feb 26, 2011
- 464
- 246
Wapendwa wana JF ufuatao ni ujumbe wangu kwa Nape Mnauye kufuatia mashambulizi yake kwa CDM akijaribu kukwepa ahadi zake za kuwapa Mapacha watatu siku 90. Naomba nyongeza na mtazamo wenu katika hili maana itamsaidia jamaa kujua kama anachapia au amewini bingo.
Nape.....! Nape.....! Nape.....! Nape.....!
Tangu ulipoteuliwa katika Kamati Kuu Mpya ya chama chako cha Magamba umekuwa msemaji/mropokaji sana na umesababisha baadhi ya watanzania kudhania JK anakuunga mkono kuwashambulia mafisadi wenzenu usiokubaliana nao. (wenye kuelewa tunajua ulikuwa unakurupuka tu maana hakuna siku JK atashirikiana na wewe against RA au EL).
Baada ya kuonywa na mabosi wako dhidi ya uropokaji sasa unataka kujaribu kuwashambulia Chadema ukidhania itabadilisha mitazamo ya wanajamii waliochoka na chama chenu na kurejesha kijiheshima kidogo ulichostahili. Hapo umepotea zaidi maana kinachotukera ni ufisadi wenu mkubwa ambao unasababisha asilimia 100 ya matatizo yote yanaoyoweza kudhibitiwa na binadamu katika nchi yetu. Pengine huna akili ya kuelewa hilo lakini ukweli ni kwamba hata ile rushwa ndogo ya serikali za mitaa inasababishwa na rushwa kubwa ambazo zinamnyima mwenyekiti wenu moral authority kukemea maovu mengine yote katika jamii.
Mimi naamini hata hiyo nafasi ulipewa kwa sababu walidhania ufisadi wako binafsi umejificha kidogo katika jamii kuliko wengine na ingeweza ku-buy time wakati mafisadi wakuu wanajipanga kuweka kibaraka wao mwingine ikulu kupitia chama chenu ifikapo mwaka 2015. Mungu atuepushe na dhahama hiyo. Ndiyo maana tunawaunga mkono Chadema si kwa kuwa wewe unawasilfu au la bali kwa kuwa wanaweza kutusaidia kutuepusha na fisadi mwingine hapo Magogoni.
Ukichunguza vizuri utagundua hata ukuu wa wilaya ulipewa ili utulie maana wakubwa waliona umezidi kelele. Chama chako na viongozi wake wote mnajijua mlivyooza na unyoka wenu, ndiyo maana mnatoa mifano ya kujivua magamba. Nyoka ndiyo wanaojivua magamba na si wanasiasa. Wanasiasa wanawajibika na kusafisasha vyama vyao.
Nakushauri utafute approach nyingine ya kupata umaarufu maana, ufisadi wa Slaa (hata kama upo kweli) si ajenda ktk Tanzania hii mliyoifilisi kwa matumizi yenu mabaya na kutusababishia maisha magumu wakati baba zenu na viongozi wenu wakiendelea kutajirika kwa ufisadi.
Nape.....! Nape.....! Nape.....! Nape.....!
Tangu ulipoteuliwa katika Kamati Kuu Mpya ya chama chako cha Magamba umekuwa msemaji/mropokaji sana na umesababisha baadhi ya watanzania kudhania JK anakuunga mkono kuwashambulia mafisadi wenzenu usiokubaliana nao. (wenye kuelewa tunajua ulikuwa unakurupuka tu maana hakuna siku JK atashirikiana na wewe against RA au EL).
Baada ya kuonywa na mabosi wako dhidi ya uropokaji sasa unataka kujaribu kuwashambulia Chadema ukidhania itabadilisha mitazamo ya wanajamii waliochoka na chama chenu na kurejesha kijiheshima kidogo ulichostahili. Hapo umepotea zaidi maana kinachotukera ni ufisadi wenu mkubwa ambao unasababisha asilimia 100 ya matatizo yote yanaoyoweza kudhibitiwa na binadamu katika nchi yetu. Pengine huna akili ya kuelewa hilo lakini ukweli ni kwamba hata ile rushwa ndogo ya serikali za mitaa inasababishwa na rushwa kubwa ambazo zinamnyima mwenyekiti wenu moral authority kukemea maovu mengine yote katika jamii.
Mimi naamini hata hiyo nafasi ulipewa kwa sababu walidhania ufisadi wako binafsi umejificha kidogo katika jamii kuliko wengine na ingeweza ku-buy time wakati mafisadi wakuu wanajipanga kuweka kibaraka wao mwingine ikulu kupitia chama chenu ifikapo mwaka 2015. Mungu atuepushe na dhahama hiyo. Ndiyo maana tunawaunga mkono Chadema si kwa kuwa wewe unawasilfu au la bali kwa kuwa wanaweza kutusaidia kutuepusha na fisadi mwingine hapo Magogoni.
Ukichunguza vizuri utagundua hata ukuu wa wilaya ulipewa ili utulie maana wakubwa waliona umezidi kelele. Chama chako na viongozi wake wote mnajijua mlivyooza na unyoka wenu, ndiyo maana mnatoa mifano ya kujivua magamba. Nyoka ndiyo wanaojivua magamba na si wanasiasa. Wanasiasa wanawajibika na kusafisasha vyama vyao.
Nakushauri utafute approach nyingine ya kupata umaarufu maana, ufisadi wa Slaa (hata kama upo kweli) si ajenda ktk Tanzania hii mliyoifilisi kwa matumizi yenu mabaya na kutusababishia maisha magumu wakati baba zenu na viongozi wenu wakiendelea kutajirika kwa ufisadi.