kuku dume
JF-Expert Member
- Apr 22, 2012
- 414
- 62
Jana jumamosi nilipokuwa kwenye mishughuliko yangu nilisikia matangazo ya gari ililokuwa likizunguka katika viunga vya mji wa Songea likitangaza kwamba kijana Nape atahutubia wananchi juu ya uhalisia wa mambo.
Ninajua kwamba hakutakuwa na watu wengi kwenye mkutano huo maana wanaruvuma wamesema basi tena. Hili linadhihirishwa na matukio na matokeo ya hivi karibuni katika maandamano na uchaguzi mdogo wa kata ya Lizaboni.
Mytake: M4C IJE RUVUMA HARAKA IWEZEKANAVYO.
Ninajua kwamba hakutakuwa na watu wengi kwenye mkutano huo maana wanaruvuma wamesema basi tena. Hili linadhihirishwa na matukio na matokeo ya hivi karibuni katika maandamano na uchaguzi mdogo wa kata ya Lizaboni.
Mytake: M4C IJE RUVUMA HARAKA IWEZEKANAVYO.