Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,363
- 58,386
Nape kutokana na vita uliyokuwa unaiendesha inabidi uwe makini sana ....sio kunywa kunywa mimaji tu juu ya meza zenu hizo au kutumia tumia vitambaa...kuna kitu kitaitwa ''polonium''...ni hatari...
''tunataka kuwalinda wanasiasa wachanga na machachari dhidi ya makupe'' kwa hio huu uzi mod msiutoe.
''tunataka kuwalinda wanasiasa wachanga na machachari dhidi ya makupe'' kwa hio huu uzi mod msiutoe.