calmdowndear
JF-Expert Member
- Jul 12, 2011
- 605
- 273
Nijuavyo mimi Gold ni pambo la mwili na pambo maana yake linalenga kuvutia mbele ya macho ndio maana wanawake wanapenda sana kuvaa mapambo ya dhahabu kwani pamoja na kupendezesha mwili bali pia inasemekana hulainisha mwili
sasa cha kujiuliza ni kwa nini mwanamme ambaye ni rijali anavaa chen ya Gold not only shingoni bali hata mikononi?
Je Nape anajaribu kutupatia message gani au kuna jambo anajaribu kutueleza INDIRECTLY?
Je CCM mliopo humu mnaona huu ni mfano bora au ndio mnaanza kujionyesha mko inclusive of all sorts of pple?
Ingekuwa ndugu yake wa kike Bimdogo kavaa cheni ningeelewa lakini hata huyo bimdo mwenyewe havai haya madubwasha iweje huyu jamaa anaona poa tuuu?