Kobello wewe si mruguru mambo ya Arusha yanakuwashia nini mkuu?Nadhani machari wa AR wanaweza kuwapopoa kwa mawe maana sasa hivi AR hamna kabisa umeme wanauona masaa mawili tu tena usiku wa manane halafu waende watu na vitambi vyao wanaokula kodi zao kuwaambia eti wao ni nyoka wa shaba? Utaniambia!Yep,CCM by blood.Arusha will never belong to CDM,and yes I wanna bet!
Habari ZA uhakika, BAADA ya kufanikiwa MBEYA Yule vuvuzela WA CCM kutua Arusha JUMAMOSI wataandamana na kuhutubia mkutano WA hadhara stendi KUU Arusha.
Source; CCM HQs
Una maana Kinana wa somalia!You think so?Lema hawezi kusimama na Kinana hata siku moja,we gave you Arusha and you are f2#king it up big time!
Stand kuu kwa wapi? au Sheikh Amri abeid? mbona pale hamna uwanja wa kufanyia mkutano labda wasitishe shughuli zoote za stand. Halafu hapo Pangani, Bondeni na mitaa inayozunguka hapo uswahilini kuna wafuasi wa ccm ila wako kwa ajili ya maslahi ka wauza na wala mirungi pamoja na vijana wa akiboa ambao hutoza hela kwa coaster zinazopakia na wanajua tu wakiasi wanapigwa chini labda wawatumie wao kwa nini wasifanyie NMC? au wanawaogopa wafuasi wa TLP na CDM wa ngalimiiiiiiiiHabari ZA uhakika, BAADA ya kufanikiwa MBEYA Yule vuvuzela WA CCM kutua Arusha JUMAMOSI wataandamana na kuhutubia mkutano WA hadhara stendi KUU Arusha.
Source; CCM HQs
Stand kuu kwa wapi? au Sheikh Amri abeid? mbona pale hamna uwanja wa kufanyia mkutano labda wasitishe shughuli zoote za stand. Halafu hapo Pangani, Bondeni na mitaa inayozunguka hapo uswahilini kuna wafuasi wa ccm ila wako kwa ajili ya maslahi ka wauza na wala mirungi pamoja na vijana wa akiboa ambao hutoza hela kwa coaster zinazopakia na wanajua tu wakiasi wanapigwa chini labda wawatumie wao kwa nini wasifanyie NMC? au wanawaogopa wafuasi wa TLP na CDM wa ngalimiiiiiiii
You think so?Lema hawezi kusimama na Kinana hata siku moja,we gave you Arusha and you are f2#king it up big time!
Habari ZA uhakika, BAADA ya kufanikiwa MBEYA Yule vuvuzela WA CCM kutua Arusha JUMAMOSI wataandamana na kuhutubia mkutano WA hadhara stendi KUU Arusha.
Source; CCM HQs
Habari ZA uhakika, BAADA ya kufanikiwa MBEYA Yule vuvuzela WA CCM kutua Arusha JUMAMOSI wataandamana na kuhutubia mkutano WA hadhara stendi KUU Arusha.
Source; CCM HQs
Naomba niwasaidie CCM nini wakifanye ili kurudisha imani za watanzania.
Wananchi wa Tanzania wameamka kisiasa. Wana upeo mkubwa na uelewa. Wanaelewa wazi kwamba wananchi wengi 90% ni watumwa ndani ya nchi yao. Na ni watanzania wachache sana 10% wamekamata nchi na mapato yote ya nchi. Na hao 10% wametumia na wanaendelea kutumia mgongo wa CCM kuimaliza Tanzania. Chadema wanafanya maandamano kila kukicha kuendelea kuishtaki CCM kwa wananchi. Hivyo basi CCM inapaswa kuwafukuza wezi wote ndani ya CCM (List of shame) na kuwachukulia hatua kali za kisheria bila kuchelewa. Ikiwa ni pamoja na kuwapeleka magerazani wahusika wote na kuwanyang'anya mali zao zote bila kuwaonea haya. Na rudisheni azimio la Arusha, wafundeni viongozi wenu kwa maana kwamba rudisheni chuo cha chama kigamboni ambacho kilikuwa na kazi ya kuwapika na kuwafundisha maadili viongozi ama viongozi watarajiwa. Kulifanya hili CCM haina haja wala sababu ya kufanya maandamano kwani kila kitu kiko wazi. Hakuna kitu kipya ambacho CCM wataweza kuwaeleza watanzania ili kuweza kueleweka kwa sasa zaidi ya kufanya hayo niliyo shauri hapo juu. Najua ni jambo gumu lakini ni hekima kulifanya sasa kuliko kuchelewa, kwani wahenga walisema usipoziba ufa utajenga ukuta.
You think so?Lema hawezi kusimama na Kinana hata siku moja,we gave you Arusha and you are f2#king it up big time!
Nimehuzunika sana kusikia wewe ni mwanamagamba! I can't believe it!
I don't belong or affiliated to any political party in this country, but the idea of someone as smart as you belonging to magamba just make my stomach sick.....esp. after all these decades of sufferings, endless poverty, corruption, mgawo wa umeme etc.....Seriously!
I'm just shaking my head in disbelief, Kobello!!