Mshume Kiyate
JF-Expert Member
- Feb 27, 2011
- 6,766
- 894
Mnyika anamwaga pointi jamaa yanaitikia tu mmmh mmmmh
Anamwaga pointi gani? Labda kwako zinaweza kuwa pointi lakini kwa great thinkers zinaweza kuwa mipasho tu mkuu!
Mnyika anamwaga pointi jamaa yanaitikia tu mmmh mmmmh
nape kamponda sugu kua wanavaa magwanda na kutukana jukwaani
You have a talent to make others laugh...have you thought of Comedy??... Maana tangu The comedy ya Masanja wajiunge CCM wanachemsha.Duuuu kweli watu mnamoyo kuisikiliza clouds ni sawa na kumwangalia jk kwenye tv natapika!
Sasa John Mnyika, kaenda Clouds Fm kufanyanje? si atakuwa kamsaliti Sugu?
Tena alikazia kwa kusema hajawai kusikia matusi ktk radio hiyo.
swahiba veve iko korofi sana aseeeMnyika anamwaga pointi jamaa yanaitikia tu mmmh mmmmh
Ujumbe upi? Wakati hao jamaa inshu zao ni pombe na ngono tumwantumu mahiza anaaga kwa kusema jahazi ni kipindi kinachotoa ujumbe kwa jamii na yeye ni mdau wa kutuma sms ktk kipindi hiki.