wakuu!
Miongoni mwa kauli nilizozishangaa sana katika mkutano wa CCM ni pale Nape Nauye alipofananisha wanachama wa CCM waliorudisha kadi zao na kujiunga na CDM kuwa ni oil chafu. kwa maneno yake Nape alisema kwa mafumbo
"eti mtu unafika mahali unapaki gari yako na kufanya service, unamwaga oil na kuweka nyingine, anakuja mtu anakinga oil chafu unatishika, mwache achukue hiyo chafu"
Kisha baada ya muda kidogo Nape huyo huyo akaongoza "wanachama wa vyama vya upinzani" kurudisha kadi za vyama vyao na kujiunga na CCM, kwa maneno mengine AKAKINGA OIL CHAFU KUTOKA VYAMA VYA UPINZANI.
Hapa Nape amekula matapishi yake mwenyewe....
Miongoni mwa kauli nilizozishangaa sana katika mkutano wa CCM ni pale Nape Nauye alipofananisha wanachama wa CCM waliorudisha kadi zao na kujiunga na CDM kuwa ni oil chafu. kwa maneno yake Nape alisema kwa mafumbo
"eti mtu unafika mahali unapaki gari yako na kufanya service, unamwaga oil na kuweka nyingine, anakuja mtu anakinga oil chafu unatishika, mwache achukue hiyo chafu"
Kisha baada ya muda kidogo Nape huyo huyo akaongoza "wanachama wa vyama vya upinzani" kurudisha kadi za vyama vyao na kujiunga na CCM, kwa maneno mengine AKAKINGA OIL CHAFU KUTOKA VYAMA VYA UPINZANI.
Hapa Nape amekula matapishi yake mwenyewe....