ndetichia
JF-Expert Member
- Mar 18, 2011
- 27,772
- 6,555
Duh!! mibongo ndivyo ilivyo
huyo ndie nape bwana kigeugeu na mbili huyo baada ya baba riz
Duh!! mibongo ndivyo ilivyo
Nape Mnauye wakati akiongea na vyombo vya habari mjini Dodoma leo ambako vikao vya Chama cha CCM vikiendelea amebadilisha kuali mbiu ya awali aliyokuwa akizunguka nchi nzima kutangaza majina ya wanaotakiwa kuachia ngazi . Leo kaja na mpya kwamba vyombo vya habari vilipotosha ukweli wa maana ya kuvua magamba kwa maana ya kubadilika na wala si kuwafukuza watu. Hii imekaaje?