Nape jibu Mapigo

Chadema kupitia kwa Slaa wamekua wakijipendekeza kwenye mgomo wa Madaktari ili wajue madai yao lakini Chama cha madaktari-MAT wamesema hawataki siasa au chama cha siasa kwenye mgomo wao,Nape hawezi toa tamko kwani anajua ni jambo la Wanataaluma na Serikali! Nyie magwanda mlisha kurupuka kujitafutia umaarufu lakini MAT ikawapiga stop! Hamuelewi maana ya "Trade Unionism" nyie kila jambo ni siasa tu! Shame on you na magwanda yenu
Kwa hiyo MAT ni Trade Union?
 
Back
Top Bottom