Leonard Robert
JF-Expert Member
- Apr 22, 2011
- 11,064
- 7,196
- Thread starter
- #61
kwani mnaogopa kuwataja, hamkumbuki yaliyomkuta bwana mkubwa MBEYA.
tuwataje tu..tusiwaogope ata wao hawaogopi kutuibia.
kwani mnaogopa kuwataja, hamkumbuki yaliyomkuta bwana mkubwa MBEYA.
yaani ni hatari tupu,eti wananchi wanaoichuki serikali ni wachache,eti matatizo yaliyo wakosesha majimbo ya ubungo na kawe wameyajua na wameyatatua na 2015 wanachukua majimbo yote Dar es salaam.
bahati nzuri wataanza na yeye..ameshindwa kujibu kuhusu mfumuko wa bei,eti ata kenya na uganda wana hali mbaya kama sisi hivyo si tatizo letu pekee
Ameyasema hayo leo asubihi ndani ya MAGIC FM..
Alipoalikwa kujibu hoja juu ya maneno aliyotoa ndugai kwamba,wanaopata posho kubwa si wabunge pekee bali ata wachungaji, NSSF,TRA achilia mbali TANAPA ambao ni kufuru..
NAPE, amesema kuna siku alikua anakatiza mitaani akaambiwa na wananchi kwamba hipo siku tunapiga mawe hayo mavx yenu..
Amedai gap linazidi kuongezeka kati ya viongozi na wananchi lakini pia amesema maisha yakipanda si kwa wabunge pekee, hivyo basi kupandisha posho si suluhisho amemalizia kwa kusema"ndugai nakuheshimu lakini kwa hili hapana"
je kama amegundua hili kwanini asikili pia kuna uwezekano ccm kuondoka madarakani 2015.
Hamna lolote Nape ni mropokaji namba moja ccm.
Hata huwa hajui analosema na hakumbuki analosema usishangae siku ingine ukasikia anajitetea kuwa hakuwahi kuzungumza ila ni waandishi wa habari.....Ni kilaza kweli kweli
Kwa dar inawezekana sana tu si wanawajua watu wao,dar ni mtaji wa CCM hilo halina ubishi.
Nape haaminiki, kwahiyo kauli yoyote itakayotoka kwake haiaminiki hata kidogo.
Trend: Moses Mnauye to Nape Mnauye, Yusuph Makamba to January Makamba malizieni wana JF. Kujivua Gamba.
Nape haaminiki, kwahiyo kauli yoyote itakayotoka kwake haiaminiki hata kidogo.