Pole Nape nakuomba upone alaka na uendelee na kazi zako Inshallah..
Kuna tetesi kutka Lumumba kuwa vuvuzela la CCM Nape Nnauye kalazwa hoi akiumwa ugonjwa kama wa Kamanda Zito(kichwa) . Sijafanikiwa kupata Hospitali aliyolazwa, nikipata soon ntawajuza. Aliyekuwa akinijuza kastuka na kuishia njiani.
But je ni mwendelezo wa adhabu ya Rais EL kwa wabaya wake????
============
UPDATED
============