samilakadunda
JF-Expert Member
- Oct 13, 2011
- 1,780
- 354
mwajua NAPE nikijana mwenzetu,sijui huwaanatumwa kama JINII.Kwa kujitoa muhanga ndiyo mwenyewe.najua huyu wetu tu,keshoutasikia naomba kujiunga na wapambanaji.
Muda mfupi uliopita Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM Nape Nnauye amefungua Baraza la UVCCM Wilaya ya Missenyi na kusema kuwa CCM haitakubali kukabidhi nchi kwa wahuni waliojificha katika makundi ya wanaharakati.
Muda mfupi uliopita Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM Nape Nnauye amefungua Baraza la UVCCM Wilaya ya Missenyi na kusema kuwa CCM haitakubali kukabidhi nchi kwa wahuni waliojificha katika makundi ya wanaharakati.
Muda mfupi uliopita Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM Nape Nnauye amefungua Baraza la UVCCM Wilaya ya Missenyi na kusema kuwa CCM haitakubali kukabidhi nchi kwa wahuni waliojificha katika makundi ya wanaharakati.
Mie niliisha waambia humu ndani nchi haikabidhiwi kwa vikaratasi vinavyo tumbukizwa kwenye masanduku, ni zaidi ya hapo. Hicho ndicho wengi wenu hamjui na hamta kaa mjue hata siku moja
Muda mfupi uliopita Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM Nape Nnauye amefungua Baraza la UVCCM Wilaya ya Missenyi na kusema kuwa CCM haitakubali kukabidhi nchi kwa wahuni waliojificha katika makundi ya wanaharakati.
The simple truth!Muda mfupi uliopita Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM Nape Nnauye amefungua Baraza la UVCCM Wilaya ya Missenyi na kusema kuwa CCM haitakubali kukabidhi nchi kwa wahuni waliojificha katika makundi ya wanaharakati.
Naamini kabisa kuwa Nape hawezi kuita watanzania wenzake wahuni