Mvaa Tai
JF-Expert Member
- Aug 11, 2009
- 6,159
- 4,443
Wao (POLISI) wanaovaa kaki nao ni CHADEMA?
Wao siyo Tatizo kwasababu wanajijua kwamba wana kadi za CCM.
Wao (POLISI) wanaovaa kaki nao ni CHADEMA?
Wakuu
Nimekuwa nikifuatilia kwa karibu juu ya umauti uliompata mpendwa wetu mwangosi kule Nyororo Mufindi. Kinachonisikitisha ni kwamba Magamba ambao wamekuwa wakijitanabaisha kuwa ni wapenda amani, utulivu na utawala wa sheria, hawajasema lolote juu unyama wa kutisha kwa mwandishi wa habari
- Je hii inaashiria kuwa CCM wamefurahia unyama huu?
Wakuu
Nimekuwa nikifuatilia kwa karibu juu ya umauti uliompata mpendwa wetu mwangosi kule Nyororo Mufindi. Kinachonisikitisha ni kwamba Magamba ambao wamekuwa wakijitanabaisha kuwa ni wapenda amani, utulivu na utawala wa sheria, hawajasema lolote juu unyama wa kutisha kwa mwandishi wa habari
- Je hii inaashiria kuwa CCM wamefurahia unyama huu?
Nape, UVCCM kimyaaaaa!
Wameshikwa pabaya!
Rais Kikwete alikuwa na safari ya kwenda Iringa kuhudhuria mazishi ya aliyekuwa Katibu wa CCM Mkoa wa Morogoro Bi. Asha Kipangula yaliyofanyika tarehe 3/9/2012 imefahamika.
Safari ya mheshimiwa Rais ilikufa ghafla baada ya kusikia kuna mauaji ya mwandishi wa habari mkoani Iringa yaliyofanywa na Askari wa jeshi la Polisi. Kama kawaida makamanda wa Intelligensia walimshauri mzee asiende Iringa maana hali si shwari. Naye Mheshimiwa bila kujali aliyefariki ni kada na mpiganaji aliyechangia Mororgoro kupeperusha bendera ya Kijani enzi za uhai wake na kuamua kumtosa na kusema heri lawama kuliko fedheha.
Hofu iliyopo kwa kitendo hicho ni kuwa kiongozi huyu ni mwoga wa matukio na amedhihirisha hata kama kutatokea machafuko nchini yeye atakimbia kwa kuwa hawezi kukabiliana nayo.