Makyomwango
JF-Expert Member
- Apr 11, 2011
- 322
- 79
Wakuu
Nimekuwa nikifuatilia kwa karibu juu ya umauti uliompata mpendwa wetu mwangosi kule Nyororo Mufindi. Kinachonisikitisha ni kwamba Magamba ambao wamekuwa wakijitanabaisha kuwa ni wapenda amani, utulivu na utawala wa sheria, hawajasema lolote juu unyama wa kutisha kwa mwandishi wa habari
Nimekuwa nikifuatilia kwa karibu juu ya umauti uliompata mpendwa wetu mwangosi kule Nyororo Mufindi. Kinachonisikitisha ni kwamba Magamba ambao wamekuwa wakijitanabaisha kuwa ni wapenda amani, utulivu na utawala wa sheria, hawajasema lolote juu unyama wa kutisha kwa mwandishi wa habari
- Je hii inaashiria kuwa CCM wamefurahia unyama huu?