Nape hajaelewa vema hoja ya Zitto

Mimi mara nyingine ninaachwa mdomo wazi na uelewa wa watu wengine? Labda ni kupotoshaji wa makusudi. Zitto hajasema POSHO zote zifutwe. Anachopendekezwa kufutwa ni sitting allowance, kwa kiswahili posho za vikao na hili sio kwa wabunge tu bali pia viongozi wengine wakubwa serikalini na taasisi zake. Kitu gani kigumu kueleweka hapa hata kama umemaliza STD VII??

Wabunge wakiwa Dodoma hulipwa posho za aina mbili 1. subsistance allowance (posho ya kujikimu). Hii Zitto anasema iendelee kuwepo. 2. Lakini wakati huo huo hulipwa sitting allowance simply kwa kuhudhulia vikaovya bunge ambavyo kimsingi ni majukumu yao. Hii ndiyo Zitto anapendekeza ifutwe. Lakini watu wameanza kupotesha mantiki ya suala hili wakidai eti Zitto anapendekeza Posho zote zifutwe kama anavyoseme Nape Nnaye kwa mapolisi eti wakihamishwa wasipewa posho!

Halafu wanadai suala la posho ni la kisera na lipo kwa mjibu wa sheria, kwamba CDM hawapaswi kulipinga wafuate utaratibu kama wanataka kuzitoa wakati wanafahamu kwamba Wabunge wa Magamba wako wengi na ni wachumia tumbo wata vote against! Sasa Anne Makinda amesema atawalipa kwa nguvu hizo posho CDM na NCCR. Kama mlifikiri wana beep wameshaandika barua ya kuzikataa kwanini mnawashinikiza, si mchukue nyinyi mafisadi (CCM) tu.
Nimekusoma mkuu ila isije kuwa 'msumeno' sie walala wima tutashindwa kufanya kazi
 
Mimi mara nyingine ninaachwa mdomo wazi na uelewa wa watu wengine? Labda ni kupotoshaji wa makusudi. Zitto hajasema POSHO zote zifutwe. Anachopendekezwa kufutwa ni sitting allowance, kwa kiswahili posho za vikao na hili sio kwa wabunge tu bali pia viongozi wengine wakubwa serikalini na taasisi zake. Kitu gani kigumu kueleweka hapa hata kama umemaliza STD VII??

Wabunge wakiwa Dodoma hulipwa posho za aina mbili 1. subsistance allowance (posho ya kujikimu). Hii Zitto anasema iendelee kuwepo. 2. Lakini wakati huo huo hulipwa sitting allowance simply kwa kuhudhulia vikaovya bunge ambavyo kimsingi ni majukumu yao. Hii ndiyo Zitto anapendekeza ifutwe. Lakini watu wameanza kupotesha mantiki ya suala hili wakidai eti Zitto anapendekeza Posho zote zifutwe kama anavyoseme Nape Nnaye kwa mapolisi eti wakihamishwa wasipewa posho!

Halafu wanadai suala la posho ni la kisera na lipo kwa mjibu wa sheria, kwamba CDM hawapaswi kulipinga wafuate utaratibu kama wanataka kuzitoa wakati wanafahamu kwamba Wabunge wa Magamba wako wengi na ni wachumia tumbo wata vote against! Sasa Anne Makinda amesema atawalipa kwa nguvu hizo posho CDM na NCCR. Kama mlifikiri wana beep wameshaandika barua ya kuzikataa kwanini mnawashinikiza, si mchukue nyinyi mafisadi (CCM) tu.

Na hapohapo kuna posho ya mafuta ya gari wanapata wakiwa Bungeni. Hawa wabunge nao wamekuwa mafisadi sana duu!!!
Nape ni gamba kuliko hata huyo Makamba.
 
Mimi mara nyingine ninaachwa mdomo wazi na uelewa wa watu wengine? Labda ni kupotoshaji wa makusudi. Zitto hajasema POSHO zote zifutwe. Anachopendekezwa kufutwa ni sitting allowance, kwa kiswahili posho za vikao na hili sio kwa wabunge tu bali pia viongozi wengine wakubwa serikalini na taasisi zake. Kitu gani kigumu kueleweka hapa hata kama umemaliza STD VII??

Wabunge wakiwa Dodoma hulipwa posho za aina mbili 1. subsistance allowance (posho ya kujikimu). Hii Zitto anasema iendelee kuwepo. 2. Lakini wakati huo huo hulipwa sitting allowance simply kwa kuhudhulia vikaovya bunge ambavyo kimsingi ni majukumu yao. Hii ndiyo Zitto anapendekeza ifutwe. Lakini watu wameanza kupotesha mantiki ya suala hili wakidai eti Zitto anapendekeza Posho zote zifutwe kama anavyoseme Nape Nnaye kwa mapolisi eti wakihamishwa wasipewa posho!

Halafu wanadai suala la posho ni la kisera na lipo kwa mjibu wa sheria, kwamba CDM hawapaswi kulipinga wafuate utaratibu kama wanataka kuzitoa wakati wanafahamu kwamba Wabunge wa Magamba wako wengi na ni wachumia tumbo wata vote against! Sasa Anne Makinda amesema atawalipa kwa nguvu hizo posho CDM na NCCR. Kama mlifikiri wana beep wameshaandika barua ya kuzikataa kwanini mnawashinikiza, si mchukue nyinyi mafisadi (CCM) tu.

Mkuu kila alichoeleza Zitto kinaeleweka na hata ulichokieleza kinaeleweka sana. Imetumika lugha rahisi sana. Hawa watu wanojifanya kuigeuza ili kukidhi maslahi yao huku tukiendelea kuumia ni wasaliti wakubwa sana. they do not even deserve to live maana ni sadists wakubwa sana. "basi na waalimu walipwe class allowances pamoja na mishahara which is equally absurd. ACHENI UNAFIKI ZITTO AMETUMIA LUGHA RAHISI SANA NA IMEELEWEKA
 
Nionacho hapa ni kushambuliana na kuongea kwa ushabiki wa vyama zaidi ya kuangalia uhalisia wa jambo lenyewe.Zitto anataka posho za vikao zifutwe kwa wabunge na yeye anachagiza kutopokea posho hizo lakini hatwambii ifanyike nini ili kufikia uamuzi huo?kwani haya ni maamuzi yaliyofikiwa na vikao vya bunge uko nyuma pamoja na yeye na ili uondoe jambo ili lazima upeleke hoja au kama kiongozi wa bunge lazima awasilishe hoja hiyo katika kamati ya uongozi ili ikionekana vyema ijadiriwe na wabunge wote ili kufikia maamuzi ya pamoja ikizingatiwa ndio kipindi chenyewe cha bajeti watakuwa wamesaidia taifa kupunguza matumizi yasiyo ya lazima maana mbunge kwa mshahara wake ulivyo anaweza kujikimu kwa mshahara wake hata akiwa anaudhuria vikao,Tukumbuke mbunge ni mwajiriwa muda wote anafanyakazi zake hata kama yuko bungeni na ndio maana vikaitwa vikao vya bunge,kama mtumishi wa kawaida anapoudhuria vikao lazima alipwe posho yake kwani ni nje ya mipango yake ya kazi japo ni kazi ile ile.Hivyo MH.zitto anapaswa kuja ana strong convincing power kwa wabunge wenzake wakubaliane nae kuachia hayo masilahi sio kwetu hatutasaidia kitu na itakuwa ni unafiki kama ule wa DR.SLAA Na mshahara mkubwa wa wabunge mwisho anapokea kitu alichokikataa,tujenge taifa kwa dhamira ya dhati kama watanzania na viongozi wetu wasijitafutie umaarufu kwa kutumia uwezo wetu dhaifu wa kutafakari mambo kwa haraka na kujua makusudio yao.Laini pia mh.NAPE anachozungumza ni katika kuliweka sawa je wakisema tuondoe posho bila kuridhia wao kwenye vikao kesho serikali ikaamua kuondoa posho hata kwa watumishi wa ngazi za chini wenye kipato kidogo na hawahawa wakaja na hoja serikali ya chama chake(NAPE-CCM)inawaonea watumishi asi watakuwa wamejipatia umaarufu kwa sababu wametenda jambo lililopangwa na bunge bila ridhaa ya Bunge na wakisema serikali ya ccm imekiuka maamuzi ya Bunge unadhani ccm itakuwa na la kusema na serikali yake hapo?Tuwe constructive na wachambuzi wa kauli za hawa wanasiasa wetu,hakuna watakalolisema bila kuwa na siri yake nyuma ya pazia.
 
Back
Top Bottom