RUGAHIMBILA E R
Member
- Mar 5, 2009
- 95
- 32
hizi picha zilipigwa miaka 50 kabla ya uhuru.
hata akienda shule za kata anaambulia zirohahaaaa yaani hawa hwajui SIPIYUU na SIKIRINI YA BULUUUU
hizi picha zilipigwa miaka 50 kabla ya uhuru.
hahaaaa yaani hawa hwajui SIPIYUU na SIKIRINI YA BULUUUU
Hii ni tanzania????????au
hizi picha zilipigwa miaka 50 kabla ya uhuru.
Hizi ndizo shule zilicho chini ya wizara zilizoundwa na serikali za wazee wa Magamba. Yes, they con, not they can-they CON!
yaani ndo nimegundua weengi wanaobisha hapa hawapo nchini! sasa unabisha nini ukija nchini si utaihama ccm siku hiyohiyo!Hizi picha si za tz nakataa kabsaaa
kama hii picha ilipigwa kabla ya uhuru vipi lile gari pale nyuma lilikuwepo wakati huo?hizi picha zilipigwa miaka 50 kabla ya uhuru.
Usijitazame wewe, tazama alie chini yako :
ndio akili ya kijana wa ccm..sasa akili za hao wazee wanaotuongoza si utachokaaaKweli wewe ni Chongo wa Akili! Badala ya kuangalia walioendelea unataka tujisifu eti kwa kuwa tumewazidi Somalia, nchi ambayo imekuwa vitani kwa zaidi ya miaka 30 sasa!
Wakakupime Akili wewe!