mtotowamjini
JF-Expert Member
- Apr 23, 2012
- 4,526
- 1,169
mi napenda jinsi nape anavozidi kunawiri...chezea ruzuku ya chama
Kwa kosa lipi au kwa sababu ya mpuuzi 1 nape?achana unafiki chama si Dr Slaa bali wanachama.
I THINK ITS TIME NOW FOR SLAA TO RETIRE,,
KWA CHADEMA TUITAKAYO YAMPASA AWE KAMA YULE MKWE WAKE MBOWE
YULE MUASISI WA CHAMA HIKI KITAKATIFU i.e MZEE MTEI
:smile: :smile:
Ni upuuzi mtupu, chadema inapaswa kiteue msemaji wa kuwajibu wapuuzi kama hawa kwa haraka mnyika yupo busy mno.
no sense at all!ccm wamepoteza kwenye uchaguzi huu kwa kushindwa kutetea kata zao 5!dr slaa anapaswa kupongezwa kwa kazi nzuri aliyoifanya ya kuwanyang'anya ccm kata zao 4 walizokuwa wanazishikilia kuanzia 2010-2012!
Viongozi wa ccm ndiyo wanapaswa kujiuzuru na dr slaa anapaswa kupandishwa cheo(kama kipo cheo kikubwa zaidi ya katibu mkuu chadema)
mtunuku basi wewe hiko cheo
rais au??