CCM hawajui watendalo wakihonga madiwani watatu au wanne leo ikifika uchaguzi ujao maanake wameeongeza hasira kwa wananchi ina maana waongeze madiwani zaidi wa cdm kwani hasira za wananchi kwa ccm ni rushwa na kutotekeleza matakwa ya wananchi ...cdm nna ccm wote ni watz ila tabia ya chama
dawa za vvu wamechakachuwa kura wanachakachuwa.....mfano wamesema wamefukuza wakurugenzi wabadirifu kumbe uwongo wengi wao wamepangiwa kazi kubwa zaidi kwenye mikoa mipya mfano ded katolewa chato kapeleka simiyu kufa afisa mipango mkoa
ACHA CHUKI BINAFSI MASKINI WA AKILI NA MALI WEWE? MILAWAMA LAWAMA TU KILA SIKU KAMA SHO*A, WEWE UKILIALIA HIVI NA WATOTO WACHANGA WAFANYEJE? JITU ZIMA UNAANDIKA UPUKUNYUKU TU HUMU JAMVINI.
WEWE UMETHIBITISHA KUWA SERIKALI YA CCM NDIO IMELETA HIZO DAWA FEKI? HUMO WIZARANI (afya na ustawi wa jamii), MSD NA TFDA hakuna wapenzi wa CHADEMA?
Serikalini wapenzi wa chadema pia wapo na ndio watendaji wabaya, mafisadi na wezi wakubwa.
KAMA ULIKUA UJUI, UJUE SASA.