NAPE: Dk. Slaa ameikimbia Mwanza mapema

CCM hawajui watendalo wakihonga madiwani watatu au wanne leo ikifika uchaguzi ujao maanake wameeongeza hasira kwa wananchi ina maana waongeze madiwani zaidi wa cdm kwani hasira za wananchi kwa ccm ni rushwa na kutotekeleza matakwa ya wananchi ...cdm nna ccm wote ni watz ila tabia ya chama

dawa za vvu wamechakachuwa kura wanachakachuwa.....mfano wamesema wamefukuza wakurugenzi wabadirifu kumbe uwongo wengi wao wamepangiwa kazi kubwa zaidi kwenye mikoa mipya mfano ded katolewa chato kapeleka simiyu kufa afisa mipango mkoa

ACHA CHUKI BINAFSI MASKINI WA AKILI NA MALI WEWE? MILAWAMA LAWAMA TU KILA SIKU KAMA SHO*A, WEWE UKILIALIA HIVI NA WATOTO WACHANGA WAFANYEJE? JITU ZIMA UNAANDIKA UPUKUNYUKU TU HUMU JAMVINI.

WEWE UMETHIBITISHA KUWA SERIKALI YA CCM NDIO IMELETA HIZO DAWA FEKI? HUMO WIZARANI (afya na ustawi wa jamii), MSD NA TFDA hakuna wapenzi wa CHADEMA?

Serikalini wapenzi wa chadema pia wapo na ndio watendaji wabaya, mafisadi na wezi wakubwa.

KAMA ULIKUA UJUI, UJUE SASA.
 
Nape alipoambiwa kazi yake ni kufungua domo na kueneza kitokacho kinywani mwake sasa mdomo wake anautumia ipasavyo,sijui kichwa chake anakumbuka kukishirikisha!
 



POSTED BY: BASHIR NKOROMO AT FRIDAY, SEPTEMBER 28,









Na wewe uwe unafahamu namna ya kuchagua your damn sources of information!!

Iweje chanzo cha habari awe Bashir Nkoromo, mpiga picha rasmi wa wa Ikulu na CCM?? Kubambuzi!
 
Ivi nini Sababu za Msingi zilizofanya ChademA kushindwa keti icho ???

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
Una uhakika na unachokiongea.....Chagulani ndie aliekuwa anakubalika hata kwa madiwani wa cuf....baada ya kupigwa chini cuf wakaona chadema hamna kitu msimamo wao ukawa bora CCM.....!

Hapana CUF bado wamepiga kura na CHADEMA ila kura zao ni chache 10 kwa 11; Mbunge wa Mwanza Mjini na Madiwani

Wawili ambao wameondolewa; Mbunge wa Mwanza Mjini naona atakuwa ILEMELA Ili washinde kwa ILEMELA.

Lakini CUF walipiga kura pamoja na CHADEMA
 
Una uhakika na unachokiongea.....Chagulani ndie aliekuwa anakubalika hata kwa madiwani wa cuf....baada ya kupigwa chini cuf wakaona chadema hamna kitu msimamo wao ukawa bora CCM.....!

Kama nilivyosema CUF na CHADEMA wamepiga Pamoja ila wamepungukiwa kura... Chagulani anasema yeye bado ni

Chadema alikuwa anasubiri kuonana na Dr. Slaa na Mbowe kueleza tatizo lililopo; That's real democracy hakuna

kuogopana kama CCM; wana-recycle MAFISADI eti Mwakalebele kachaguliewa NEC - huyo huyo alishikwa na

TAKUKURU na kukataliwa kugombea UBUNGE... yaliishaje? Haijulikani...
 
Na wewe uwe unafahamu namna ya kuchagua your damn sources of information!!

Iweje chanzo cha habari awe Bashir Nkoromo, mpiga picha rasmi wa wa Ikulu na CCM?? Kubambuzi!

Haujui nini... BASHIR NKOROMO ni kama ameajiriwa na NAPE NNAUYE... anapia website ya IKULU anayo-iupdate na

Ya CCM - Ile CCM Glog Bashir Nkoromo anaiongoza as well... Kama VILE ISSA MICHUZI na IKULUBLOG...

PESA za WALIPA KODI zinafanya kazi ya CHAMA...
 
ACHA CHUKI BINAFSI MASKINI WA AKILI NA MALI WEWE? MILAWAMA LAWAMA TU KILA SIKU KAMA SHO*A, WEWE UKILIALIA HIVI NA WATOTO WACHANGA WAFANYEJE? JITU ZIMA UNAANDIKA UPUKUNYUKU TU HUMU JAMVINI.

WEWE UMETHIBITISHA KUWA SERIKALI YA CCM NDIO IMELETA HIZO DAWA FEKI? HUMO WIZARANI (afya na ustawi wa jamii), MSD NA TFDA hakuna wapenzi wa CHADEMA?

Serikalini wapenzi wa chadema pia wapo na ndio watendaji wabaya, mafisadi na wezi wakubwa.

KAMA ULIKUA UJUI, UJUE SASA.

aaaaaaa yamekuwa hayo tena kama dawa za vvu tu mmeshindwa ila mnaweza kuwa na pesa za kwenda msibani maana ke mmepanga......unachekesha watoto wa kike kupata mimba ni kwa ajili ya kiherehere chao huyo ndio baba mzazi au na hii pia watoto 5000 waliofaulu kwenda kidato cha kwanza hawajui kusoma wala kuandika....

nakushauri angalia tbc maisha plus ndio utajuwa tz inayoongozwa na ccm kama kuna watu mpaka leo hajui kazaliwa lini maanake hata umri wake hajui na yupo mjini

 
Kura zilipigwa na madiwani, huku baadhi ya madiwani wa CDM wakiwa wemetimuliwa, tusubiri kura za wananchi za ubunge sumbawanga na igunga tabora.......hapo ndo wawezatoa conclusion Nape.
 
Ok kwa kukufraisha tufanye hivi ni serekali ya chadema na akishirikiana na waziri kivuli sa cdm haya hapo umefrai ehhh?!?!? Idiot
ACHA CHUKI BINAFSI MASKINI WA AKILI NA MALI WEWE? MILAWAMA LAWAMA TU KILA SIKU KAMA SHO*A, WEWE UKILIALIA HIVI NA WATOTO WACHANGA WAFANYEJE? JITU ZIMA UNAANDIKA UPUKUNYUKU TU HUMU JAMVINI.

WEWE UMETHIBITISHA KUWA SERIKALI YA CCM NDIO IMELETA HIZO DAWA FEKI? HUMO WIZARANI (afya na ustawi wa jamii), MSD NA TFDA hakuna wapenzi wa CHADEMA?

Serikalini wapenzi wa chadema pia wapo na ndio watendaji wabaya, mafisadi na wezi wakubwa.

KAMA ULIKUA UJUI, UJUE SASA.
 

CHADEMA waache kufanya kazi kwa kufuata popularity stings... Lazima wafanye kazi kwa AKILI

Wangeangalia ni kazi GANI Mkuu wa MKOA MPYA wa Mwanza nia yake ilikuwa ni kuwalainisha Wana

Chadema
Madiwani wasio na MSIMAMO; Kama VIONGOZI wa CHADEMA MAKAO MAKUU wasipokuwa

Waangalifu
CCM itawachezea kila MAHALI...

Ni vizuri ukaandika mambo yanayo make sense na yenye Logic kuliko hivi ulivyoandika.

Hayo aliyosema Nape tulitegemea ayaseme tu, bali ningependa kumshauri tu aache kufanya siasa za kumshambulia mtu binafsi na utu wake si sahihi kabisa, vilevile mambo ya mipasho hayana umuhimu wowote kwenye siasa za ushindani.

Suala la RC,DC,RPC, wakurugenzi wa halmashauri nk. kutumiwa na CCM kuua upinzani sio kipya wala la ajabu sana.
Hivyo sioni sababu ya CHADEMA kupoteza muda kumfuatilia RC wakati kila kitu kiko wazi.

Suala la kupoteza umeya mbona liko wazi kabisa, kama uwiano wa madiwani uko hivi CHADEMA-8, CCM-8, CUF-3 na matokeo yakawa CHADEMA(8) CCM(11) ,hivyo kuna ajabu gani unless kama another theory behind ambayo hutaki kuisema.
 
Ccm watafanikiwa kuisambaratisha chadema lakini hawataweza kuwasambaratisha watanzania. Watanzania ni hatari kuliko chadema. Nawaasa ccm achani kutumia hila dhidi ya chadema maana nguvu ya raia wasio na vyama ni mbaya na hatari kwenu kuliko hao chadema!!
 
Ni vizuri ukaandika mambo yanayo make sense na yenye Logic kuliko hivi ulivyoandika.

Hayo aliyosema Nape tulitegemea ayaseme tu, bali ningependa kumshauri tu aache kufanya siasa za kumshambulia mtu binafsi na utu wake si sahihi kabisa, vilevile mambo ya mipasho hayana umuhimu wowote kwenye siasa za ushindani.

Suala la RC,DC,RPC, wakurugenzi wa halmashauri nk. kutumiwa na CCM kuua upinzani sio kipya wala la ajabu sana.
Hivyo sioni sababu ya CHADEMA kupoteza muda kumfuatilia RC wakati kila kitu kiko wazi.

Suala la kupoteza umeya mbona liko wazi kabisa, kama uwiano wa madiwani uko hivi CHADEMA-8, CCM-8, CUF-3 na matokeo yakawa CHADEMA(8) CCM(11) ,hivyo kuna ajabu gani unless kama another theory behind ambayo hutaki kuisema.


Usikemee HOJA ya MTU; Kila MTU anaona habari na Masuala ya kisiasa tofauti; kuliko kushutumiana ni

Kueleweshana... Kabla ya Chadema kufukuza Madiwani 2 ilikuwa na kura za kutosha
 
Nape VUVUZELA la ccm, mmefanya UMAFIA wa hali ya juu kwa kukiuka sheri kuhamisha wabunge wa Ilemela na diwani wa viti maalumu, halafu bila ya aibu unafunua domo lako pana kubwabwaja na kumwita Slaa Babu yako kakuzalia marehemu Babako? We Nepi subiri kipindi kipindi kifupi 2015 afya yako hiyo kama boga la Isimani itakwisha kama vile umetolewa upepo kwenye tube. Utatupwa kwenye jalala liwakalo moto wakati wote.

Hii inaruhusiwa..hata CDM waliitumia katika halmashauri ya HAI.Tuone kam kutakua na rufaa,na kipengele kipi kitapingwa
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom