mysteryman JF-Expert Member Aug 4, 2011 977 176 Nov 24, 2011 #2 Bwanamdogo chunga sana huyo mzee hua hapewi mikono hovyo ataku mwakyembe...shauri yako
Gosbertgoodluck JF-Expert Member Mar 3, 2008 2,855 401 Nov 24, 2011 #3 Huyu bwana mdogo Nnauye ni mbwa anayebweka sana lakini kumbe ni kibogoyo.
KIM KARDASH JF-Expert Member Sep 21, 2011 5,139 1,139 Nov 24, 2011 #4 mysteryman said: Bwanamdogo chunga sana huyo mzee hua hapewi mikono hovyo ataku mwakyembe...shauri yako Click to expand... mi mwenyewe namshangaa huyu kijana naona hamjui sawasawa mzee mzima!
mysteryman said: Bwanamdogo chunga sana huyo mzee hua hapewi mikono hovyo ataku mwakyembe...shauri yako Click to expand... mi mwenyewe namshangaa huyu kijana naona hamjui sawasawa mzee mzima!
TANMO JF-Expert Member Apr 12, 2008 11,513 11,276 Nov 24, 2011 #5 Naona hadi wajumbe wengine nyuma wanaikodolea macho hii muvi, good..!
King’asti Platinum Member Nov 26, 2009 27,823 24,781 Nov 24, 2011 #6 Hiyo picha ya kwanza,mbona kama sumaye bin zero anamkwepa nape? Siasa bana,yaani drama kushinda ndoa!
Hiyo picha ya kwanza,mbona kama sumaye bin zero anamkwepa nape? Siasa bana,yaani drama kushinda ndoa!
mama D JF-Expert Member Nov 22, 2010 19,760 35,205 Nov 24, 2011 #7 mysteryman said: Bwanamdogo chunga sana huyo mzee hua hapewi mikono hovyo ataku mwakyembe...shauri yako Click to expand... hapo kwenye red hivi kumbe ndio mtendajieee?
mysteryman said: Bwanamdogo chunga sana huyo mzee hua hapewi mikono hovyo ataku mwakyembe...shauri yako Click to expand... hapo kwenye red hivi kumbe ndio mtendajieee?
S sawabho JF-Expert Member Feb 25, 2011 5,286 3,107 Nov 24, 2011 #8 Mtoto kwa Baba hukui, hao ndio walezi wake. Heshima kwanza ni muhimu.
L Losemo Senior Member Mar 30, 2010 183 32 Nov 24, 2011 #9 Hii kama movie ya hollywood kabisa' Lakini nadhani igizo linaendelea
G Gagnija Platinum Member Apr 28, 2006 11,841 10,423 Nov 24, 2011 #10 Duh, picha ya kwanza utadhani Kingunge amemuona mtoa roho Israil.
I Idodi Member Nov 22, 2011 40 4 Nov 25, 2011 #12 Dunia mapito bwana. Tuwaombee walokufuu waende salama.
M mkomavu buzi Member Apr 11, 2011 76 14 Nov 25, 2011 #13 Mwambieni nape afanye mazoezi naona mashati yameanza kumbana "apunnguze kitambi"