ninatamani kushuhudia MAPACHA WA3 wakikabidhi office...eeh Mungu naomba uzima!Hapo pekundu ndio muhimu kwa CCM kufa na kupona kwa mbinu yoyote ili ata ikibidi mtu kufa!.
ninatamani kushuhudia MAPACHA WA3 wakikabidhi office...eeh Mungu naomba uzima!Hapo pekundu ndio muhimu kwa CCM kufa na kupona kwa mbinu yoyote ili ata ikibidi mtu kufa!.
Mwisho wake utakuwa mzuri kuliko mwanzo kama picha la kihindi vile...bonge sinema never miss its end..................................................
Huyu bwana mdogo asichokijua ni kuwa Sisiem ni kampuni........na hao anaotaka kuwafukuza ni wenye hisa nyingi kuliko wote................inachekesha sana:music:Asema suala la kuwafukuza sasa halina mjadala
Ni baada ya kukaidi amri kujivua gamba
Asisitiza kinachosubiriwa ni taratibu za kuwatema
Pia awonya mafisadi wengine na wezi serikalini
Awajulisha kuwa ccm ndio mwajiri wao
Lengo ni kuinusuru kisiasa isianguke uchaguzi 2015
Asema suala la kuwafukuza sasa halina mjadala
Ni baada ya kukaidi amri kujivua gamba
Asisitiza kinachosubiriwa ni taratibu za kuwatema
Pia awonya mafisadi wengine na wezi serikalini
Awajulisha kuwa ccm ndio mwajiri wao
Lengo ni kuinusuru kisiasa isianguke uchaguzi 2015
halafu inaanzishwa wilaya mpya kwenye kilele cha mlima kilimanjaro........anakuwa mkuu wa wilaya :bange:Huyu Dogo Nape Nnauye asubiri 2015, Edward Ngoyai Lowasa atakuwa RAIS wa Tanzania.
Huyu bwana mdogo asichokijua ni kuwa Sisiem ni kampuni........na hao anaotaka kuwafukuza ni wenye hisa nyingi kuliko wote................inachekesha sana:music:
asema suala la kuwafukuza sasa halina mjadala
ni baada ya kukaidi amri kujivua gamba
asisitiza kinachosubiriwa ni taratibu za kuwatema
pia awonya mafisadi wengine na wezi serikalini
awajulisha kuwa ccm ndio mwajiri wao
lengo ni kuinusuru kisiasa isianguke uchaguzi 2015
<br><br>hakuna mwenye ubavu wa kumfukuza lowasa wala rostam si mmeona juzi kawambia kama mnaweza fanyeni maamuzi haraka ,keshaona nyie wote ccm kama kondoo ,hamna jeuri ya kumfukuza si mliona wabunge wangapi walivyomshangilia.pole nape kaa kimya ili tumbo lako lipate mkate shauri yako<font size=3>asema suala la kuwafukuza sasa halina mjadala<br>ni baada ya kukaidi amri kujivua gamba<br>asisitiza kinachosubiriwa ni taratibu za kuwatema<br>pia awonya mafisadi wengine na wezi serikalini<br>awajulisha kuwa ccm ndio mwajiri wao<br>lengo ni kuinusuru kisiasa isianguke uchaguzi 2015 </font>
Siku hii au siku hiyo,sijakuelewa kabisa mkuu!!Nitaifananisha siku hii na siku ya Uhuru wa Tanganyika mwaka 1961.
jamaa kaona nape amesahaulika jamvini kaamua kumuingiza kiaina.kifupi ni uongo na hakunasehemu nape aliposema haya maneno.uongo na uzushi na mwisho wa yote haiwezekani.Yetu macho na masikio.
Asema suala la kuwafukuza sasa halina mjadala
Ni baada ya kukaidi amri kujivua gamba
Asisitiza kinachosubiriwa ni taratibu za kuwatema
Pia awonya mafisadi wengine na wezi serikalini
Awajulisha kuwa ccm ndio mwajiri wao
Lengo ni kuinusuru kisiasa isianguke uchaguzi 2015