dosama
JF-Expert Member
- Dec 25, 2010
- 912
- 957
Source uhuru
Katibu mwenezi wa CCM amewashukia CDM na kudai wameingia mkenge kwa kauli mbiu ya "Vua Gamba vaa Gwanda" ni kauli mbiu ya CCM na si ya CHADEMA.
Amedai kuwa wanavamia kauli mbiu ya CCM na kuifanya yao na kuwa mabingwa wa kuiga.
Kauli mbiu hiyo ilikuwa na dhamira ya kukisafisha chama cha Mapinduzi kwa kuwavua magamba viongozi wake si kama inavyotumika na CDM.
My concern
Sasa CCM itadai kila kitu ni chake nadhani ni kuishiwa cha kufanya
Katibu mwenezi wa CCM amewashukia CDM na kudai wameingia mkenge kwa kauli mbiu ya "Vua Gamba vaa Gwanda" ni kauli mbiu ya CCM na si ya CHADEMA.
Amedai kuwa wanavamia kauli mbiu ya CCM na kuifanya yao na kuwa mabingwa wa kuiga.
Kauli mbiu hiyo ilikuwa na dhamira ya kukisafisha chama cha Mapinduzi kwa kuwavua magamba viongozi wake si kama inavyotumika na CDM.
My concern
Sasa CCM itadai kila kitu ni chake nadhani ni kuishiwa cha kufanya