NELSON LANGSON
Member
- Jun 3, 2012
- 17
- 0
kumekucha acha kuota,amka
Amevurugwa
Nape anasem CCM itatawala milele kwa sababu vyama vya upinzani havina sera mbadala za kuikomboa hii nchi.
Tusishangae kwa nini hiki chama kitakufa kwa kasi sana maana viongozi wenyewe wameshapanic.
Nape anasema CCM itatawala milele kwa sababu vyama vya upinzani havina sera mbadala za kuikomboa hii nchi.
Tusishangae kwa nini hiki chama kitakufa kwa kasi sana maana viongozi wenyewe wameshapanic.
Nape, anatembea na laana ya umaskini wa watanzania, hivi karibuni ataanza kuhutubia akiwa amevua nguo zote baaad ya magamba kukataa kujivua yenyewe.
Nape anasema CCM itatawala milele kwa sababu vyama vya upinzani havina sera mbadala za kuikomboa hii nchi.
Tusishangae kwa nini hiki chama kitakufa kwa kasi sana maana viongozi wenyewe wameshapanic.
nadhani kama ni kweli amesema hivyo ameingilia mamlaka makubwa sana ya yeye aliye juu. ndio yale yale ya I am the state. Ukishalewa madaraka unaona kama upo sawa na yeye aliye juu
Nape anasema CCM itatawala milele kwa sababu vyama vya upinzani havina sera mbadala za kuikomboa hii nchi.
Tusishangae kwa nini hiki chama kitakufa kwa kasi sana maana viongozi wenyewe wameshapanic.