Suzie
JF-Expert Member
- May 7, 2010
- 1,259
- 409
Nape anasema CCM itatawala milele kwa sababu vyama vya upinzani havina sera mbadala za kuikomboa hii nchi.
Tusishangae kwa nini hiki chama kitakufa kwa kasi sana maana viongozi wenyewe wameshapanic.
Hata mimi naruhusiwa kuota au kuwaza kwasauti