Nape azindua mpya ya CCM "Vua gamba vaa uzalendo"

LAZIMA UJUE KUSEMA UONGO, UZUSHI, UMBEA
Hizo ni pure attributes za viongoz wa CCM. Mnapigana majungu kisirisiri mpaka hadharan. baraza la mawazir lililovunjwa limetuonyesha mnavyoishi
Mmesema uongo dhidi ya Ole Milya kuiba M2
Mkapa alisema uongo kwe kampen Arumeru mashariki dhidi ya V Nyerere
Pinda alisema uongo juu ya posho za wabunge kongezwa na alituhmiwa na Lema kusema uongo bungen mkaizima hoja mkasuka zengwe akavuliwa ubunge
Mifano iko mingi juu ya fitna,chuki,majungu na uzandiki wa viongozi wenu.
Mbaya zaidi nyinyi mnaongeza na ukwapuaji wa rasilimali zetu
Laana ya Mungu ii juu yenu na hamtafumbuka macho kujua hw deep in a s-it u er mpaka mmezama wote.
 
Mi nadhan nape unachemka, walikuwa wanasema we vuvuzela nilikuwa siamin, sasa nimeamini. Ulisema hamtaki magamba mnataka yatoke ndan ya ccm, sasa unasema unataka mgamba yavae uzalendo, hii inakuwaje?. Magamba yamegoma kutoka ccm?. Mpaka uyavalishe uzalendo?. Au ilikuwa porojo.
 
Ni kweli KWA VIPIMO VYA MAGWANDA SINA SIFA MAANA WAO LAZIMA UJUE KUSEMA UONGO, UZUSHI, UMBEA ,UKANDA NA UKABILA NA UJUE NAMNA YA KUSHAWISHI WATU KUCHANGA TSHS MBILIMBLI HUKU MKIWAAMBIA HAWANA PESA HATA ZA DALADALA! hizo sifa sina, so you are right!

Huwa nikikuona nackia kichefuchefu, nashindwa kuelewa elimu yako ni ya wap icyokusaidia na kukufanya uweze kuona mbal. ht ivyo ctakulaumu sn kwn kula yako inatokana na kubwabwaja kwako.
 
Ni kweli KWA VIPIMO VYA MAGWANDA SINA SIFA MAANA WAO LAZIMA UJUE KUSEMA UONGO, UZUSHI, UMBEA ,UKANDA NA UKABILA NA UJUE NAMNA YA KUSHAWISHI WATU KUCHANGA TSHS MBILIMBLI HUKU MKIWAAMBIA HAWANA PESA HATA ZA DALADALA! hizo sifa sina, so you are right!

Unapenda sana kulopoka,nyie ndio waongo wakubwa na wanyonyaji,hakuna mnachofanya zaidi ya ku copy kwa CDM.
 
Wakati tunapata uhuru tulikuwa na Barabara ya lami moja na sasa kila mkoa unaunganishwa na lami, Secondari mpak a kwenye kata, mafisadi wanashughulikiwa,....

Unadhan Chadema wakishika nchi watafanya nini zaidi ya kutuibia tu kwa sababu chama chao hakikuwa chama cha siasa,
Dr Slaa amebeba fedha za Chama anajenga Nyumba yake bila kupewa na Chama Je akikabithiwa nchi atafanya nini kama kaanza wizi mapema,,,,,

Cha Msingi kwenye nchi yetu kupata viongozi wazalendo
 
Ni kweli sisiemu wameishiwa ubunifu kiasi? Hadi wanashwindwa kubuni mikakati ya kukubiliana na Chadema kiasi cha kuanza kukopi slogani za wapinzani? Ndg Nape vp umeishiwa kabisa? Ngoja tuone ni nini utawaambia watanzania na tuone mwitikio wa watanzania kama utalingana na ule wa jangwani
 
Naamini kabisa ccm ikitumia vyombo vya habari kutangazia umma kama walivyofanya chadema umati utazidi maradufu
 
Vua gamba na gwanda vaa uzalendo, imekaa poa zaidi. Lakini ccm wasitudanganye tena ya watoto wa kuku kunyonya kesho. TUMECHOKA NA SIASA! Hatuzitaki tena! Laiti kila mtu angeitambua thamani ya utanzania (uafrika) wake, na kuupigania, tungekuwa mbali sana.
Mungu wetu anaita sasa!
 
SIO GAMBA HATA MKISEMA CHUNA NGOZI CCM HAPENDEKI TENA LABDA NYERERE AFUFUKE NA KAWAWA:israel:
 
Katibu mwenezi wa Ccm bwana nape nauye amezindua movement ya 'vua gamba vaa uzalendo' ameongea hilo katika eneo la Misenyi mkoani Kagera.
Source:chanel 10 taarifa ya habari saa 1usiku.
My take kweli magamba hali yao ni mbaya mwaka huu wanalo! Magamba kwishney! Lol!

Sina uhakika, pengine ameruka neno alilodhamilia sababu ya kukurupuka, na amini alitaka kusema "VUA GAMBA VAA GWANDA ZALENDO"
 
Katibu mwenezi wa Ccm bwana nape nauye amezindua movement ya 'vua gamba vaa uzalendo' ameongea hilo katika eneo la Misenyi mkoani Kagera.
Source:chanel 10 taarifa ya habari saa 1usiku.
My take kweli magamba hali yao ni mbaya mwaka huu wanalo! Magamba kwishney! Lol!

Siku 90 zimeisha?
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom