Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Katibu mwenezi wa Ccm bwana nape nauye amezindua movement ya 'vua gamba vaa uzalendo' ameongea hilo katika eneo la Misenyi mkoani Kagera.
Source:chanel 10 taarifa ya habari saa 1usiku.
My take kweli magamba hali yao ni mbaya mwaka huu wanalo! Magamba kwishney! Lol!
mohamedi, nimeshindwa kuelewa ni kitu gani hasa kimempeleka Nape Missenyi? Kwenye michuzi anaonekana akiongea na wanahabari huku kukiwa na jeneza la mpigania uhuru karibu. Then picha nyingine anaonekana anacheza golf! What is he doing in Missenyi? Msiba au Golf?
Na kuhusu msiba, kweli CCM au niseme serikali ya CCM imeshindwa kumpeleka mkubwa mmoja kwenye haya maziko ya mpigania uhuru? Kumpeleka Nape ni madharau makubwa kwa marehemu mzee wetu afadhali mara mia wasingepeleka mtu.
Katibu mwenezi wa Ccm bwana nape nauye amezindua movement ya 'vua gamba vaa uzalendo' ameongea hilo katika eneo la Misenyi mkoani Kagera.
Source:chanel 10 taarifa ya habari saa 1usiku.
My take kweli magamba hali yao ni mbaya mwaka huu wanalo! Magamba kwishney! Lol!
Hahahaaaaa! MMEFULIA, MSIPOTOSHE UKWELI, NYIE MNAVUA MAGAMBA NA KUWAVISHA WATU MAGWANDA NA KUWADANGANYA NDIO TIBA YA MATATIZO YAO, SIE TUNAWAVUA MAGWANDA NA MAGAMBA NA KUWAVISHA UZALENDO... Kanyaga twende sasa!
Hahahaaaaa! MMEFULIA, MSIPOTOSHE UKWELI, NYIE MNAVUA MAGAMBA NA KUWAVISHA WATU MAGWANDA NA KUWADANGANYA NDIO TIBA YA MATATIZO YAO, SIE TUNAWAVUA MAGWANDA NA MAGAMBA NA KUWAVISHA UZALENDO... Kanyaga twende sasa!
Hahahaaaaa! MMEFULIA, MSIPOTOSHE UKWELI, NYIE MNAVUA MAGAMBA NA KUWAVISHA WATU MAGWANDA NA KUWADANGANYA NDIO TIBA YA MATATIZO YAO, SIE TUNAWAVUA MAGWANDA NA MAGAMBA NA KUWAVISHA UZALENDO... Kanyaga twende sasa!
Hahahaaaaa! MMEFULIA, MSIPOTOSHE UKWELI, NYIE MNAVUA MAGAMBA NA KUWAVISHA WATU MAGWANDA NA KUWADANGANYA NDIO TIBA YA MATATIZO YAO, SIE TUNAWAVUA MAGWANDA NA MAGAMBA NA KUWAVISHA UZALENDO... Kanyaga twende sasa!
Hahahaaaaa! MMEFULIA, MSIPOTOSHE UKWELI, NYIE MNAVUA MAGAMBA NA KUWAVISHA WATU MAGWANDA NA KUWADANGANYA NDIO TIBA YA MATATIZO YAO, SIE TUNAWAVUA MAGWANDA NA MAGAMBA NA KUWAVISHA UZALENDO... Kanyaga twende sasa!
ni sawa na mtu ajisaidie halafu ajipake kinyesi
nape hauna tabia za uongozi!unaropokaropoka hovyo hovyo,poor you
acha hizo, watu tupo siriaz na nchi......em changia mambo ya msingi, na sio kutumia vocha mademu
changia m4c kwa m-pesa fuata hatua rahisi zifuatazo.
-piga *150#
-4 lipa bili yako
-1. Ingiza namba ya kampuni (111333)
-weka namba ya kumbukumbu(namba yako ya simu ya vodacom)
-weka kiasi (kiasi cha chini ni 1000)
-weka namba yako ya siri
-thibitisha
-utapokea ujumbe kuwa mchango wako umetumwa chadema.
Ni kweli KWA VIPIMO VYA MAGWANDA SINA SIFA MAANA WAO LAZIMA UJUE KUSEMA UONGO, UZUSHI, UMBEA ,UKANDA NA UKABILA NA UJUE NAMNA YA KUSHAWISHI WATU KUCHANGA TSHS MBILIMBLI HUKU MKIWAAMBIA HAWANA PESA HATA ZA DALADALA! hizo sifa sina, so you are right!
Du mfa maji hakosi kutapatapa, ila usijali naona unakipaji kingine cha utunzi wa taarabu(mipasho) hivyo usiwe na wasiwasi muone mzee Yusufu mapema kabla ya kifo cha CCMNi kweli KWA VIPIMO VYA MAGWANDA SINA SIFA MAANA WAO LAZIMA UJUE KUSEMA UONGO, UZUSHI, UMBEA ,UKANDA NA UKABILA NA UJUE NAMNA YA KUSHAWISHI WATU KUCHANGA TSHS MBILIMBLI HUKU MKIWAAMBIA HAWANA PESA HATA ZA DALADALA! hizo sifa sina, so you are right!