Utakuwa na pepopunda ya akili sio buremhhh magwanda kwishnei
Zombi unajidhalilisha lakijani ndio la wawindaji nenda Mali asili uone kwi! Kwi! Kwi!
Ni kweli mkuu umenikumbushaMkuu Precise pangolin yale ya kijani si ni ya askari wanyamapori ambao wanapambana na majangiri?
Nimeona kwenye Tbc1!!duh yaani mpaka aibu!hivi kulikuwa hata na haja ya kutumia kipaza sauti?manake UMATI wenyewe haukuzidi watu 60!,wengi wao ni wajumbe wa nyumba kumi na wenyeviti wa ccm mitaani,loh!kweli leo ndiyo nimeamini kuwa CCM kwisha kabisa!.
Asante kwa mawazo yako mwenyewe na sio ya watu Wa Iringa.
Nape Nnauye kasambaratisha ngome ya Chadema Mafinga Mjini na Wanachama wa Chadema wamesema wamechonga kuwepo kwenye Chama cha Kikabila na kinachoendeshwa na watu kadhaa utadhani chama ni chao na Familia yao, Hawajawahi hata kusema Mamilioni ya Rukuku wanatumiaje zaidi ya kuweka mifukoni mwao hakuna Kiongozi yeyote wa Mkoa au Wilaya anayenufaika na Mamilioni ya Ruzuku wanayopata kutoka kwenye serikali, Na wakauliza Je wakikabithiwa nchi itakuwaje,,
Na Nape kawaeleza adhari ya nchi kukabithiwa kwa wanaharakati Duniani haijawah kutokea nchi ikakabithiwa kwa Wanaharakat huwa haitawaliki na CCM HAWAPO TAYARI KUKABITH NCHI KWA WANAHARAKATI, Nchi huwa inkabithiwa kwa chama cha Siasa...
Tanzania Chama cha Siasa ni CCM Tu coz Viongozi wa vyama vyote ni Oil Chafu iliyomwagwa na Magari ya CCM.
Hizi MODEM za ubwete sometimes zina matatizo yake.
Nape kiboko yenu, kijana mdogo anawahenyesha ile mbaya.
Nasikia Mbeya kimenuka!
Kamwambie anaye toa uongozi wa nchi sio nyinyiemu ni Watanzania.Kamwambie anaye hoji ruzuku inafanya nini aangalie inavyo itesa nyinyiemu kwa kukitanua chadema.Mwambie aliye kutuma nyinyiemu nilini ilitoa ripoirt ya ruzuku
Unaposema uongo wakati habari yenyewe imeonyeshwa na TV ya CCM TBC1 unajionyesha ulivyopungukiwa hii ni great thinkers forum sio ya propaganda uwe mwangalifu aibu kuwa mwongo mtu mzima
Nape Nnauye kasambaratisha ngome ya Chadema Mafinga Mjini na Wanachama wa Chadema wamesema wamechonga kuwepo kwenye Chama cha Kikabila na kinachoendeshwa na watu kadhaa utadhani chama ni chao na Familia yao, Hawajawahi hata kusema Mamilioni ya Rukuku wanatumiaje zaidi ya kuweka mifukoni mwao hakuna Kiongozi yeyote wa Mkoa au Wilaya anayenufaika na Mamilioni ya Ruzuku wanayopata kutoka kwenye serikali, Na wakauliza Je wakikabithiwa nchi itakuwaje,,
Na Nape kawaeleza adhari ya nchi kukabithiwa kwa wanaharakati Duniani haijawah kutokea nchi ikakabithiwa kwa Wanaharakat huwa haitawaliki na CCM HAWAPO TAYARI KUKABITH NCHI KWA WANAHARAKATI, Nchi huwa inkabithiwa kwa chama cha Siasa...
Tanzania Chama cha Siasa ni CCM Tu coz Viongozi wa vyama vyote ni Oil Chafu iliyomwagwa na Magari ya CCM.